Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.