Children Dying in South Sudan After US Aid Cuts: NGO
The World Food Programme (WFP) warned this week that acute malnutrition rates among refugee children in South Sudan — fleeing the war in Sudan — had “already breached emergency thresholds”.
The World Food Programme (WFP) warned this week that acute malnutrition rates among refugee children in South Sudan — fleeing the war in Sudan — had “already breached emergency thresholds”.
The International Youth Fellowship (IYF) has marked a major milestone in youth empowerment with the graduation of 10000 young people…
The new US-backed aid distribution model in Gaza is a waste of resources and a distraction from “atrocities”, the head of the UN agency for Palestinian refugees Philippe Lazzarini said Wednesday.
Harvard, which has sued the US government over a separate raft of punitive measures, fired back at the Trump administration’s move, calling it “unlawful.”
Serikali ya Marekani imetangaza upunguzaji mpya wa ufadhili kwa Chuo Kikuu cha Harvard siku ya Jumanne, siku moja tu baada ya Rais wa chuo hicho, Alan Garber, kusema kuwa taasisi hiyo ina “mambo ya msingi yanayoshabihiana” na utawala wa Rais Donald Trump.
To achieve this, Kenya will internally finance 20% of the reduction, while the remaining 80% will rely on international support, including finance, technology transfer, capacity building, and participation in carbon markets.
Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.
Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi announced that these MOUs will promote bilateral partnerships and open new avenues for collaboration in these fields.