Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 huambukizwa kupitia majimaji yanayotoka kwenye mfumo wa njia ya hewa ya mgonjwa, ambayo husambaa wakati wa kukohoa, kupiga chafya au kuzungumza.Vilevile, maambukizi yanaweza kutokea kwa kugusa mazingira yaliyochafuliwa na majimaji hayo.