Mkutano wa G20 wafanyika bila uwepo wa uwakilishi kutoka Marekani
Afrika Kusini, nchi ya kwanza ya Afrika kuongoza jukwaa hili, ilichukua urais wa G20 mwaka jana ikiwa ni hatua ya kutoa fursa kwa mataifa tajiri kuyasikiliza mataifa maskini.
Afrika Kusini, nchi ya kwanza ya Afrika kuongoza jukwaa hili, ilichukua urais wa G20 mwaka jana ikiwa ni hatua ya kutoa fursa kwa mataifa tajiri kuyasikiliza mataifa maskini.
Elon Musk’s artificial intelligence company unveiled Monday the latest version of its chatbot, Grok 3, which the billionaire hopes will find traction in a highly competitive sector contested by the likes of ChatGPT and China’s DeepSeek.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.
The meeting covered several key areas, including the review of Kenya’s national Agriculture Strategy, training of youth in agriculture, and the introduction of ICT in Agriculture Colleges.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa leo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 0.957, dizeli kwa asilimia 2.18 na mafuta ya taa kwa asilimia 1.25.
Watu kumi na wawili wamekwama baada ya mgodi wa dhahabu katika eneo la magharibi mwa Kenya kuanguka sehemu yake, polisi wamesema leo Jumanne.
Aidan Eyakuze ni mtaalamu aliyejitolea katika kupigania mabadiliko ya kijamii kupitia uwazi na ushiriki wa wananchi katika masuala ya kisiasa na utawala. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa OGP, Aidan alikuwa mkurugenzi wa shirika la Twaweza kwa kipindi cha miaka takribani 10
In the 2024 KCSE, more female students sat the examination than male students, marking a historic moment.
The latest version of Meta’s community guidelines said its platforms — which include Facebook and Instagram — would now permit users to accuse people of “mental illness or abnormality” based on their gender or sexual orientation.