16 gunshots, 6 years later, Tundu Lissu Stays Invincible
Lissu was shot 16 times by unknown people on September 7, 2017, after returning from a parliamentary session in Dodoma
Lissu was shot 16 times by unknown people on September 7, 2017, after returning from a parliamentary session in Dodoma
Leo imetimia miaka sita katika historia ya maisha ya mwanasiasa na mwanasheria nguli nchini Tanzania Tundu Lissu, ambaye sasa amepata ulemavu wa kudumu baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana siku kama ya leo Septemba 7,2017 jijini Dodoma kisha kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matibabu
Pastor Dorcas acknowledged the presence of Prof. Wangari’s daughter, Wanjira Maathai, and reminded the world of her mother, who fought for a better environment
President William Ruto’s motorcade to the Kenyatta International Convention Centre in Nairobi where the Africa Climate Summit is taking place…
While ACS is a high level Climate Change meeting for presidents, ACW brings together state actors and other Climate Change stakeholders and professionals to deliberate on Climate Change crisis topics.
The theme of the summit is “Driving Green Growth and Climate Finance Solutions for Africa and the World”.
Rais Samia ameeleza hayo leo Ikulu ndogo ya Visiwani Zanzibar wakati akiwaapisha vingozi wateule aliowateua Agosti 30,2023 ambapo pamoja na mambo mengine ameweka msisitizo wake kwa aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ambaye sasa amehamishiwa katika Wizara ya Tamisemi kuhakikisha anacheza karata zake vizuri ili ushindi urudi kwenye serikali yake.
The vehicles are two-wheelers, with a place for a driver and a passenger, and instead of a petrol-powered engine are driven by an electric engine supplied by a battery.
Pastor Dorcas appreciated the contribution of the numerous partners and volunteers who had stepped forward to support the boy child program since inception.
Tanzania inajiandaa kufanya kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio Virus 2 (CVDPV2) katika Mikoa 6 inayopakana na nchi za Zambia na Burundi ambapo zoezi hilo limepangwa kufanyika mwezi Septemba na Novemba Mwaka huu 2023 ili kuwakinga watoto.