Kenya holds state funeral for opposition leader Odinga
Kenya held a state funeral for revered opposition leader Raila Odinga in Nairobi on Friday, a day after security forces opened fire on huge mourning crowds.
Kenya held a state funeral for revered opposition leader Raila Odinga in Nairobi on Friday, a day after security forces opened fire on huge mourning crowds.
Awali leo kabla ya kuendelea na shahidi wa tatu mahakamani Lissu ambaye anajitetea mwenyewe katika kesi hiyo alimalizia maswali ya dodoso ambayo kimsingi alizungumzia kuhusu picha mjongeo ama video ambayo abadaiwa kuochapisha.
For years, the white hat has been part of Raila’s visual identity, seen at rallies, church services and state events, making it instantly recognizable to supporters.
Officials say dignitaries will view first at Kasarani before doors open to the public, with all logistics now coordinated from the stadium.
The body of revered Kenyan opposition leader Raila Odinga arrived in Nairobi on Thursday from India where he died of a suspected heart attack.
Maandalizi haya yanakusudia kuheshimu wosia wa Raila aliyeelekeza azikwe ndani ya saa 72 tangu kifo chake
The programme seeks to honour Raila’s wish stated in his will, to be laid to rest within 72 hours of his death
As a mark of respect, the flag of Kenya will be flown at half-mast at State House, all Kenyan diplomatic missions, public buildings, and grounds, as well as at all military bases, posts, and stations, and on all naval vessels of the Republic of Kenya
Katika kesi hiyo, vigogo hao wa CHADEMA wanatuhumiwa kukiuka amri ya Mahakama Kuu iliyotolewa Juni 10, 2025, kufuatia uwepo wa kesi ya madai inayohusu usawa kwenye mgawanyo wa mali ndani ya CHADEMA, inayosikilizwa chini ya Jaji Hamidu Mwanga. Wadaiwa kuwa wamepigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa na matumizi ya rasilimali za chama hadi pale kesi hiyo itakapopatiwa uamuzi.
Katika maelezo yake mbele ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dastun Ndunguru, Lissu alisema kuwa baadhi ya watu waliokuwa tayari kushiriki katika kusikiliza kesi hiyo, wakiwemo raia wa kigeni, walifukuzwa nchini na kurudishwa nchini mwao.