President Ruto Declares 7 Days of Mourning Former Prime Minister Raila Odinga
During the period of mourning, the Kenyan flag will be flown at half-mast across the country and at all Kenyan diplomatic missions abroad.
During the period of mourning, the Kenyan flag will be flown at half-mast across the country and at all Kenyan diplomatic missions abroad.
Kesi hiyo, ambayo leo inachukua siku ya saba tangu ianze kusikilizwa kwa hatua ushahidi imekuwa ikivuta hisia za wananchi na wadau wa sheria, ilianza kusikilizwa majira ya saa tatu asubuhi ambapo Kahaya alianza kutoa ushahidi wake, na leo aliendelea kujibu maswali ya dodoso kutoka kwa Lissu.
Messages of condolence continue to pour in from across Africa following the death of Kenya’s former Prime Minister Raila Amolo Odinga, a towering political figure whose legacy shaped Kenya’s democracy and inspired reform movements across the continent.
Kenyan opposition leader Raila Odinga has died at the age of 80 during a health visit to India, local police said Wednesday — a political earthquake that could transform politics in the East African nation.
Raila alihatarisha maisha yake kwa kuongoza maandamano, mikutano ya hadhara, na kampeni za mageuzi, akisisitiza kuwa Kenya inahitaji katiba mpya, utawala wa sheria, na haki za binadamu.
This decision comes after the activists went missing for two weeks, sparking widespread concern and diplomatic tensions between Kenya and Uganda.
TEC’s Secretary General, Fr Dr Charles Kitima, unequivocally flagged the document as fake.
Nyerere Day remains a moment of national reflection, not only on Tanzania’s historical journey but also on the values that continue to guide its future. From education and unity to moral integrity and respect for all, Mwalimu’s ideals are celebrated as a compass for generations to come.
Kesi hiyo ambayo ilianza kusikilizwa majira ya saa tatu asubuhi mbele ya jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru, Lissu aliendelea na zoezi la kumhoji kwa kina shahidi huyo wa pili wa upande wa mashtaka, akichambua maelezo yake ya polisi dhidi ya ushahidi alioutoa mahakamani wiki iliyopita.
Mawakili wa Jamhuri walidai kuwa mshtakiwa hakufuata taratibu za kisheria katika kuwasilisha ombi hilo la kupokea kielelezo hicho kama ushahidi.