Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
Mutumwa alikuwa ametoweka mnamo Desemba 16, 2024, pamoja na Mwau na Karani Muema. Kwa zaidi ya mwezi mmoja, familia zao zilikuwa zikitafuta majibu kuhusu kutoweka kwao.
Wasira ametoa mfano wa Donald Trump, ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Marekani katika uchaguzi wa hivi karibuni, akisema kuwa licha ya umri wake mkubwa, Wamarekani walimchagua kwa sababu ya sera zake na si kwa kuangalia umri wake.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka kwa mivutano” katika eneo hilo.
”We will not sideline anyone. We will work together and ensure everyone gets justice”
The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.
Risasi zilisikika katika maeneo kadhaa ya mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), siku leo Jumanne, wakati wanajeshi wa Kongo walipokutana uso kwa uso na wapiganaji wa kikundi cha M23, kilichosaidiwa na wanajeshi wa Rwanda, kabla ya kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Gunshots rang out on Tuesday through parts of the besieged DR Congo city of Goma, where Congolese soldiers have clashed with militia fighters backed by Rwandan troops, while furious protesters attacked embassies in the capital Kinshasa.
Rais wa Kenya William Ruto ameteua jopo la watu tisa walio na jukumu la kuwasaili na kuwachuja watakaokuwa kwenye nafasi za Uenyekiti na makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).
Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, masaa kadhaa baada ya kutangaza kutwaa udhibiti wa mji huo muhimu.