• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Moody’s Rating: Kenya’s National Debt Trend is Bad
Business / Finance East Africa

Moody’s Rating: Kenya’s National Debt Trend is Bad

Kevin SeweJuly 10, 2024August 7, 2024

The American credit rating company Moody’s has downgraded Kenya to the lowest level of debt repayment. According to Moody’s, Kenya…

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200
Crime & Justice Tanzania

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200

Asia GambaJuly 10, 2024July 15, 2024

Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma, Musa Abdallah kwa tuhuma za kumn’goa meno matatu mke wake kwa kutumia Praizi kwa kile kilichoelezwa ni ugomvi wa Sh. 200.

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo
Crime & Justice Tanzania

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo

Our CorrespondentJuly 9, 2024July 9, 2024

Mshitakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Rais Ruto ametia saini Mswada wa Marekebisho ya Tume ya Uchaguzi IEBC 2024
Kenya Politics

Rais Ruto ametia saini Mswada wa Marekebisho ya Tume ya Uchaguzi IEBC 2024

Kevin SeweJuly 9, 2024August 7, 2024

Rais Kenya William Ruto leo Jumanne ametia saini kuwa sheria Mswada wa Marekebisho ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka,…

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Mahakama Kuu yasitisha kubuniwa jopo la kutathmini deni la kitaifa la Kenya
Business / Finance Kenya

Mahakama Kuu yasitisha kubuniwa jopo la kutathmini deni la kitaifa la Kenya

Kevin SeweJuly 8, 2024August 7, 2024

Mahakama Kuu ya Nakuru imesitisha agizo la Rais William Ruto kubuni jopo la kutathmini deni la kitaifa kenya . Hakimu…

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.
Crime & Justice Tanzania

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.

Asia GambaJuly 8, 2024

Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba
East Africa Politics

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba

Joy CheptooJuly 7, 2024August 7, 2024

Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu
Tanzania

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu

Asia GambaJuly 5, 2024

Rais  Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy