• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Wanasayansi wafanikiwa kuondoa kabisa virusi vya Ukimwi kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa.
Africa East Africa

Wanasayansi wafanikiwa kuondoa kabisa virusi vya Ukimwi kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa.

Asia GambaMarch 20, 2024March 20, 2024

Wanasayansi wanasema wamefanikiwa kuondoa kabisa virusi vinavyosababisha Ukimwi (VVU) kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa, kwa kutumia teknolojia ya kurekebisha upya jeni za mwili ya Crispr (Crispr gene-editing technology) iliyoshinda Tuzo ya Nobel

Miaka mitatu ya Urais wa Samia akiwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhfa huo.
Africa East Africa

Miaka mitatu ya Urais wa Samia akiwa mwanamke wa kwanza Tanzania kushika wadhfa huo.

Asia GambaMarch 19, 2024March 19, 2024

Rais Samia Suluhu Hassan alishika  hatamu ya nchi kufuatia kifo cha mtangulizi wake huyo hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taifa hilo tangu lipate uhuru.

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Africa East Africa

ACT Wazalendo waitaka Serikali itekeleze ahadi yake ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Chama cha ACT Wazalendo  kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama
Africa East Africa

TBS:Mchele kutoka Marekani ni salama

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Taarifa ya TBS iliyotolewa kwa vyombo vya habari imeeleza kuwa chakula hicho kilipoingizwa nchini kilifanyiwa ukaguzi na uchunguzi wa kimaabara na kuthibitishwa kuwa ni salama kwa matumizi.

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli
Africa East Africa

Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli

Asia GambaMarch 18, 2024March 18, 2024

Hata hivyo anakiri kwamba kulikuwa na ugumu uliosababisha kuchukua saa 48 kabla ya rais mwingine hajaapishwa jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Tanzania, hali iliyotokana na pande mbili kuwa kutofautiana kimaamuzi.

Kenya’s deployment to Haiti will still happen – Ruto
Africa East Africa People

Kenya’s deployment to Haiti will still happen – Ruto

Mwanzo EditorMarch 14, 2024March 14, 2024

Kenya’s President William Ruto has said that a planned deployment of police officers to Haiti will go ahead as soon…

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25

Asia GambaMarch 12, 2024March 12, 2024

Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa mwaka 2024/25. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo aliwasilisha mpango huo Dodoma jana katika kikao cha kamati ya bunge zima kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0
Africa East Africa

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitangaza awamu nyingine ya maandamano yenye utofauti na awamu ya kwanza ya maandamano iliyomalizika hivi karibuni.

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.
Africa East Africa

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wakazi saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka manne yakiwamo ya kusafirisha sukari na mafuta ya kupikia kwa magendo vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10.7. 

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.
Africa East Africa

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wiki hii ilikuwa ni wiki ya hekaheka za vikao vya kamati kuu vya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, ambayo imeishia katika mkutano mkuu wa chama hicho ambao ulitambulisha safu ya viongozi wapya ikiwa ni sehehmu ya kupokezana kijiti kama ambavyo Katiba yao inawataka kufanya hivyo kila inapofika miaka mitano.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo