Dr. Nyambura Moremi’s Return: A New Chapter in Tanzania’s Health Leadership
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Kiongozi huyo wa ODM ameitaka Serikali kuwalipa wahudumu wa matibabu, kuangalia ada na mishahara ya madaktari wanaoendelea na masomo zaidi na kushughulikia kusitishwa kwa huduma zao bila utaratibu.
Jackline Sekento Lankas is a symbol of strength, passionate about climate justice and unwavering in her support for the rights of girls and individuals with disabilities
Kenya imetangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku kuu kuadhimisha Eid-Ul-Fitr.
Taarifa ya TASAC imeeleza kuwa baada ya kuzama Aprili 7, 2024, Wavuvi walimuokoa Abiria mmoja raia wa China na hadi Saa 1:00 Usiku wa Aprili 7, 2024, Watu 17 waliokolewa ambapo Wachina 2, Watanzania 3 na Wakongo 12.
Rais wa Rwanda Paul Kagame, ameipongeza Kenya kwa wajibu wake mkubwa katika kujengwa upya kwa taifa la Rwanda baada ya mauaji ya kimbari yaliyotekelezwa mwaka 1994.
Rais William Ruto lwa kenya Alhamizi jioni amewasili nchini Guinea Bissau, baada ya kukamilisha ziara rasmi nchini Ghana.
The president of Botswana has threatened to send 20,000 elephants to Germany in a dispute over conservation.
Earlier this year, Germany’s environment ministry suggested there should be stricter limits on importing trophies from hunting animals.
On Monday, the parliament voted for a new constitution which changes the presidential system to a parliamentary one.
Serikali ya Tanzania imepokea jumla ya dola za kimarekani milioni 602 sawa na trilioni 1.4 za kitanzania kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2024 hadi 2026.