• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Shahidi : Sioni ia ya Lissu Kuitishia Serikali Katika Hotuba
Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi : Sioni ia ya Lissu Kuitishia Serikali Katika Hotuba

Wadh KassimSeptember 8, 2026September 8, 2026

Brenda amedai kuwa katika maneno hayo hakuna yaliyotaja Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa au kiongozi mwingine wa Serikali.

Shahidi: Lissu Hakuandaa Mkutano wa Aprili 3
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Shahidi: Lissu Hakuandaa Mkutano wa Aprili 3

Wadh KassimSeptember 7, 2026

Rupia alisema uamuzi wa kuitisha mkutano huo ulifanywa na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, pamoja na Sekretarieti ya chama.
Alifafanua kuwa Sekretarieti ni chombo cha utekelezaji kinachoshughulikia shughuli za chama kila siku, kikijumuisha Katibu Mkuu, manaibu wake wawili pamoja na wakurugenzi wa chama.

Golugwa Amaliza Kutoa Ushahidi, Akataa Baadhi ya Hoja za Jamhuri Kuhusu Kauli za Lissu
Crime & Justice East Africa Tanzania

Golugwa Amaliza Kutoa Ushahidi, Akataa Baadhi ya Hoja za Jamhuri Kuhusu Kauli za Lissu

Wadh KassimSeptember 7, 2026

Golugwa alipinga hoja kwamba vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 zilisababishwa na kauli za Lissu. Alisema si kweli, akieleza kuwa chama kilizuiwa kufanya shughuli zake za kisiasa na kwamba hotuba ya Lissu ilitolewa kabla ya uchaguzi.

Tanzanian President Samia Suluhu’s husband, Hafidh Ameir, is dead
Africa Tanzania

Tanzanian President Samia Suluhu’s husband, Hafidh Ameir, is dead

Kevin SeweSeptember 7, 2026

His death was announced on Monday, September 7, 2026, by Vice President Deogratius Ndejembi.

Jamhuri Yamuhoji Golugwa Kuhusu Madai ya Uchaguzi
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Jamhuri Yamuhoji Golugwa Kuhusu Madai ya Uchaguzi

Wadh KassimSeptember 4, 2026

Golugwa amekiri kuwa katika taarifa hizo kulikuwa na msimamo wa Chadema wa kutoshiriki uchaguzi hadi Serikali itakaposhinikizwa kufanya mabadiliko. Alipoulizwa ni nani aliyepaswa kushinikizwa, alijibu kuwa ni Serikali.

Golugwa: Kesi Dhidi ya Lissu Ililenga Kuzima Operesheni ya ‘No Reforms No Elections’
Crime & Justice East Africa Tanzania

Golugwa: Kesi Dhidi ya Lissu Ililenga Kuzima Operesheni ya ‘No Reforms No Elections’

Wadh KassimSeptember 3, 2026September 3, 2026

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara ndugu Amani Golugwa ameendelea leo kutoa ushahidi wake wa utetezi dhidi ya Tundu Lissu…

Mnyika Amaliza Kumtetea Lissu, Akomaa na “Mashtaka Dhidi ya Lissu ni Uongo”
Crime & Justice East Africa Tanzania

Mnyika Amaliza Kumtetea Lissu, Akomaa na “Mashtaka Dhidi ya Lissu ni Uongo”

Wadh KassimSeptember 2, 2026September 2, 2026

Shahidi wa pili wa upande wa utetezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, John Mnyika, amemaliza kutoa ushahidi wake mbele ya Mahakama, akisisitiza kuwa baadhi ya mashtaka yaliyowahi kufunguliwa dhidi ya viongozi wa chama hicho hayakuwa na msingi wa ushahidi.

Crime & Justice East Africa Tanzania

Tone Tone Ya Chadema Yaibuka Kesi Ya Lissu, Jamhuri Yachimba Matumizi Ya Pesa Hizo

Wadh KassimSeptember 2, 2026

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ameiambia Mahakama kuwa kampeni ya “Tone Tone” iliyoanzishwa na chama hicho imekusanya Shilingi milioni 302 hadi sasa.

Crime & Justice East Africa Tanzania

Golugwa: Uchaguzi wa 2024 Ulikuwa Chanzo cha Msimamo wa “No Reforms, No Elections”

Wadh KassimSeptember 2, 2026September 3, 2026

GOLUGWA: Tarehe 10 December 2024, Mwenyekiti wa Chama wakati huo Mh. Freeman Mbowe akatoa tamko rasmi ya chama, msimamo wa Kamati Kuu yaliyoazimiwa kwamba hatutakuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi mwingine wowote bila mabadiliko kwenye mifumo ya uchaguzi.

Jamhuri Yamkaba Mnyika Ya Oktoba 29 Kesi Ya Lissu
Crime & Justice East Africa Tanzania

Jamhuri Yamkaba Mnyika Ya Oktoba 29 Kesi Ya Lissu

Wadh KassimSeptember 1, 2026

Mnyika amesema CHADEMA ilikuwa imejiandaa kushiriki uchaguzi mkuu wa 2025 kwa mujibu wa Katiba, licha ya kile alichokiita mapungufu yaliyokuwepo.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy