Tanzania opposition party barred from upcoming elections
Chadema leader Tundu Lissu, who was arrested and charged with treason earlier in the week, previously said that his party would not participate in the polls without electoral reform.
All news and updates from Tanzania
Chadema leader Tundu Lissu, who was arrested and charged with treason earlier in the week, previously said that his party would not participate in the polls without electoral reform.
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, limeitaka serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja na bila masharti yoyote kiongozi wa chama cha upinzani Chadema, Tundu Lissu, aliyekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
‘’No Reform No Change movement slogan” does not mean rebellion but the party’s firm stand against corrupt electoral systems.
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake kuhusu kutoweka kwa matumaini ya mageuzi katika sheria za uchaguzi, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.
Lissu has consistently called for electoral reforms and warned that Chadema would oppose the elections unless changes are made to ensure free and fair voting.
Tanzania’s opposition leader and Chadema chairman, Tundu Lissu, has been arrested in Mbinga, Songea region, moments after addressing a public…
Haya yameelezwa leo Aprili 9,2025, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo ameeleza kuwa takwimu zilizopo watu 1,690,948 wanaishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU).
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
The ongoing case has become a key topic in discussions about electoral justice, especially after claims of electoral fraud, violence and human rights violations during Tanzania’s 2020 elections.