Shahidi : Sioni ia ya Lissu Kuitishia Serikali Katika Hotuba
Brenda amedai kuwa katika maneno hayo hakuna yaliyotaja Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Waziri, Naibu Waziri, Mkuu wa Mkoa au kiongozi mwingine wa Serikali.