Africa East Africa Politics Tanzania

Kesi dhidi ya vigogo wa Chadema yapigwa kalenda

Katika kesi hiyo, vigogo hao wa CHADEMA wanatuhumiwa kukiuka amri ya Mahakama Kuu iliyotolewa Juni 10, 2025, kufuatia uwepo wa kesi ya madai inayohusu usawa kwenye mgawanyo wa mali ndani ya CHADEMA, inayosikilizwa chini ya Jaji Hamidu Mwanga. Wadaiwa kuwa wamepigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa na matumizi ya rasilimali za chama hadi pale kesi hiyo itakapopatiwa uamuzi.