Tanzania Govt Accuses CNN, BBC and Al Jazeera of “Deliberate Misreporting”
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
All news and updates from Tanzania
CNN reported that bodies of protesters killed during the post-election unrest may have been buried secretly, citing satellite images, doctors’ accounts and video evidence
Serikali ya Tanzania imesema inafatilia kwa ukaribu makala mpya ya televisheni ya kimataifa ya CNN, ambayo imeeleza kwa kina madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu na matukio ya vifo vya watu wakati wa maandamano yaliyofuatia uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.
Waathiriwa, wengi wao wakiwa hawana silaha, walipigwa risasi na polisi, miili yao ikitupwa kama takataka. Mwanamke mjamzito ambaye alijikuta katikati ya vurugu alifyatuliwa risasi mgongoni wakati akijaribu kukimbia. Daktari aliyewahudumia majeruhi aliripoti muundo wa kutisha wa majeraha ya risasi, hasa kichwani, tumboni, kifuani na kwenye miguu.
The bodies of protesters, killed in the aftermath of the October 29 election, were secretly buried at Kando cemetery.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.
The commission cannot be independent or impartial, especially in a situation where the government is the primary suspect in the crimes being investigated.
Former Malawi President Dr. Lazarus Chakwera has been appointed by the Commonwealth as Special Envoy to Tanzania, a role aimed at helping the country navigate post-election tensions and move toward national dialogue.
Muslim leaders in Tanzania on Saturday condemned killings by security forces on the sidelines of a disputed general election last month.
Akitangaza hatua ya serikali kuunda Tume maalum ya uchunguzi, alisema uchunguzi huo utakuwa msingi wa kuelewa chanzo cha migogoro na kuchukua hatua za kurejesha maelewano ya kitaifa.
”Tanzania’s election was decided well before October 29th. In response to these less than credible elections, Tanzanians took to the streets to display their deep frustration and anger”.