• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Chadema demands AU take action over the prolonged detention of Tundu Lissu
Africa East Africa Tanzania

Chadema demands AU take action over the prolonged detention of Tundu Lissu

Kevin SeweFebruary 20, 2026February 20, 2026

In a statement addressed to the 39th Ordinary Session of the AU Assembly, the party accuses the government of deliberately stifling opposition, suppressing independent media, and criminalizing dissent, culminating in the detention of its Chairman, Tundu Lissu.

Shahidi: Wanachama wa Chadema Wananitishia mimi Kuja Kutoa Ushahidi
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi: Wanachama wa Chadema Wananitishia mimi Kuja Kutoa Ushahidi

Wadh KassimFebruary 20, 2026

Shahidi huyo alidai kuwa kuna wanachama au wafuasi wa CHADEMA wanaofahamu kuwa anakuja kutoa ushahidi na kwamba walimtishia kwa kumwambia kuwa “lolote baya linaweza kumkuta.”

Shahidi Akiri Kutojua Sheria Inayoeleza Kuzuia Uchaguzi ni Kosa
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Akiri Kutojua Sheria Inayoeleza Kuzuia Uchaguzi ni Kosa

Wadh KassimFebruary 19, 2026February 20, 2026

Shahidi huyo alisisitiza kuwa kwa ufahamu wake kuzuia uchaguzi ni kosa.Aidha, alipoulizwa kuhusu shtaka la Uhaini linalomkabili Lissu, shahidi alisema anafahamu Lissu anashtakiwa kwa Uhaini lakini alikiri hafahamu vipengele vyote vya shtaka hilo zaidi ya madai ya kauli zinazohusiana na uchaguzi.

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa

Wadh KassimFebruary 18, 2026February 18, 2026

Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri

Wadh KassimFebruary 17, 2026

Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri

Wadh KassimFebruary 17, 2026February 17, 2026

Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 16, 2026

Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu

Wadh KassimFebruary 12, 2026

Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe

Wadh KassimFebruary 11, 2026

Lissu alipinga muundo wa kizimba hicho akieleza kuwa kinazuia hata majaji kumuona shahidi na kufuatilia mienendo na tabia zake wakati wa kutoa ushahidi, jambo alilodai linakiuka kanuni ya tatu ya ulinzi wa mashahidi.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy