Tanzania families still looking for bodies 3 months after protests
Manenos Selanyika could only receive a symbolic burial. His family never found his body after the violent unrest of Tanzania’s election three months ago.
All news and updates from Tanzania
Manenos Selanyika could only receive a symbolic burial. His family never found his body after the violent unrest of Tanzania’s election three months ago.
Maafisa wa Marekani wanasema hatua hiyo inalenga kufanya upya ukaguzi wa taratibu za kuchuja na kuchunguza waombaji, wakisisitiza kuwa wahamiaji wapya wanapaswa kuwa na uwezo wa kujitegemea kifedha na kutoegemea msaada wa serikali
Lissu has now spent over 260 days in custody, according to the timeline in court records cited in the proceedings.
Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.
Kesi hiyo ilifunguliwa mwezi Agosti na mwanaharakati wa mazingira Meitamei Ole Dapash, aliyepinga kufunguliwa kwa kambi hiyo akidai imejengwa katika eneo muhimu la kupitisha wanyamapori kati ya Hifadhi ya Maasai Mara nchini Kenya na Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania.
The case was filed in August by environmentalist Meitamei Ole Dapash, who challenged the opening of the luxury safari camp near the Kenya–Tanzania border.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.
Taarifa ya polisi iliyotolewa leo, tarehe 12 Desemba 2025, imeeleza kuwa Mwambe ambaye aliwahi kuwa Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji na baadaye Wizara ya Viwanda na Biashara alikamatwa wakati wa operesheni ya kawaida ya kufuatilia masuala ya usalama jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hatua za awali za kisheria kuhusu tuhuma zinazomkabili zinaendelea kukamilishwa.
“The October 29 election is null and void and all results must be cancelled,” Heche said, adding that Tanzanians were denied a genuine chance to choose their leaders.
Opposition party Chadema’s deputy chairperson John Heche told reporters that Tanzania witnessed “mass killings of more than 2,000 people and over 5,000 injured in the space of just one week”.