Siku 366 za Lissu gerezani:Shinikizo la kutaka kuachiwa laongezeka ndani na nje ya TZ
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wakati wa operesheni maalum iliyopewa jina la “No Reforms No Election”, kampeni iliyolenga kushinikiza mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini.