• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu
Africa East Africa Politics Tanzania

Lissu awataka wanachama kuichangia CHADEMA, kesi ya kikatiba yaendelea Mahakama Kuu

Asia GambaJuly 21, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho kuendelea kuchangia chama na Baraza Kuu, wakati akiwasili katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, ambako usikilizwaji wa shauri la kikatiba namba 7300/2026 unaendelea leo.

East Africans find fragile refuge in Kenya as repression soars
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Tanzania Uganda

East Africans find fragile refuge in Kenya as repression soars

Mwanzo EditorJuly 20, 2026

Dozens of Ugandans and Tanzanians are thought to be hiding in neighbouring Kenya after recent elections in their countries triggered mass arrests, kidnappings, and murders.

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu
Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu

Asia GambaJuly 14, 2026

Serikali ya Tanzania imeikosoa makala iliyochapishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha BBC Africa Eye, ikidai kuwa imewasilisha taarifa zisizo na uwiano kuhusu kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.

Alicia Magabe: It’s been a year without communication with my husband, Tundu Lissu
Africa East Africa Tanzania

Alicia Magabe: It’s been a year without communication with my husband, Tundu Lissu

Kevin SeweJuly 13, 2026

“The first three months were very difficult. I was overwhelmed by thoughts,”

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Alicia Lissu: Mwaka mmoja bila mawasiliano na mumewe anayekabiliwa na kesi ya uhaini

Asia GambaJuly 13, 2026

Mke wa mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, Alicia Lissu, amesema hajazungumza wala kumuona mumewe kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

ACT Wazalendo yamtaka Katambi kuachia mikutano ya hadhara
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yamtaka Katambi kuachia mikutano ya hadhara

Asia GambaJuly 13, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, kuacha hatua za kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, akisema zinaenda kinyume na utamaduni na utaratibu wa muda mrefu wa kufanya siasa Zanzibar.

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake
Africa East Africa Tanzania

Rais Samia awaonya Wanaharakati, asema Tanzania haitasita kutumia nguvu kuhami raia wake

Asia GambaJuly 9, 2026

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaharakati wote wanaojihusisha na shughuli za kuchochea vurugu nchini akisema kuwa wanachofanya ni ugaidi huku akienda mbali zaidi kwa kutafsiri neno Ugaidi.

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba
Africa East Africa Kenya Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba

Asia GambaJuly 8, 2026

Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.

Saba Saba Protests shut down major cities in Tanzania
Africa East Africa Tanzania

Saba Saba Protests shut down major cities in Tanzania

Kevin SeweJuly 7, 2026July 7, 2026

The 7th of July is usually a very busy day in Dar es Salaam, home to the annual National Saba-Saba Trade Fair. But this year, the city looked different. Most streets were empty, as if the city’s nearly 6 million residents had vanished overnight.

Tanzanians fear more police killings ahead of planned protests
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Tanzanians fear more police killings ahead of planned protests

Mwanzo EditorJuly 6, 2026

Riot police, weapons drawn, are visible across the commercial capital Dar es Salaam after calls to protest on July 7, usually a day that celebrates the creation of the African Union of Tanganyika, the party that led Tanzania to independence in 1964.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy