Lissu insists on ”No reforms, no election” slogan ahead of Tanzania general election
‘’How can we go in an election where the president has all the powers to appoint and fire electoral commissioners at his/her will’’?
All news and updates from Tanzania
‘’How can we go in an election where the president has all the powers to appoint and fire electoral commissioners at his/her will’’?
“Mapambano haya yatahitaji baraka za kila mmoja wetu, yatahitaji kila mmoja wetu kuweka mkono wake, kila mmoja kuweka kidogo alichonacho, jambo likapata baraka za wengi linapata baraka za Mungu”.
The country scored 32 out of 100, showing a slight improvement from 31 points in 2023. However, this score is still below both the Sub-Saharan African average of 33 points and the global average of 43 points.
Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.
Raila Odinga has reportedly garnered support from at least 28 countries, though 19 heads of state have publicly endorsed him.
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, ndio waliofungua kesi hiyo ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.
Hii leo inatajwa kwa ajili ya kuangaliwa iwapo upelelezi wa kesi umekamilika, ingawa imefungwa mikono kuendelea na hatua zaidi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini kuwasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kupatikana kwa dhamana ya mshtakiwa kutokana na kuangalia uhalali wa kesi ya jinai kwa haraka.
Chama tawala nchini Tanzania Chama cha Mapinduzi(CCM) leo kinaadhimisha miaka 48 ya kuzaliwa kwake huku kikijivunia kuendelea kushikilia dola nchini humo.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa leo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 0.957, dizeli kwa asilimia 2.18 na mafuta ya taa kwa asilimia 1.25.