Nairobi Protest for Kizza Besigye’s Release Set for February 24
The groups are calling for the immediate release of Dr. Besigye, Hajj Obeid Lutale, and lawyer Eron Kiiza, along with an end to the militarization of justice in Uganda.
All news and updates from Tanzania
The groups are calling for the immediate release of Dr. Besigye, Hajj Obeid Lutale, and lawyer Eron Kiiza, along with an end to the militarization of justice in Uganda.
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.
Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.
Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.
‘’How can we go in an election where the president has all the powers to appoint and fire electoral commissioners at his/her will’’?
“Mapambano haya yatahitaji baraka za kila mmoja wetu, yatahitaji kila mmoja wetu kuweka mkono wake, kila mmoja kuweka kidogo alichonacho, jambo likapata baraka za wengi linapata baraka za Mungu”.
The country scored 32 out of 100, showing a slight improvement from 31 points in 2023. However, this score is still below both the Sub-Saharan African average of 33 points and the global average of 43 points.