Siku ya Mbivu na Mbichi Chadema ni Leo!
Mgombea wa tatu ni Charles Odero, ambaye wachambuzi wa siasa wanahoji hana nafasi kamwe ya kuwa mwenyekiti.
All news and updates from Tanzania
Mgombea wa tatu ni Charles Odero, ambaye wachambuzi wa siasa wanahoji hana nafasi kamwe ya kuwa mwenyekiti.
Ameeleza pia msukumo wake wa kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.
Rais Samia alisema, Dkt Mpango alimwandikia barua kutaka kujiuzulu ili akapumzike.
Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema mpaka January 15, 2025, majibu ya uchunguzi wa kimaabara kutoka kwa Wahisiwa wa Ugonjwa wa Marburg waliochukuliwa sampuli hizo hayajathibisha uwepo wa virusi hivyo.
Kupitia ukurasa wake WHO imesema hadi tarehe 10 mwezi huu kulikuwa na wagonjwa 6 lakini idadi iliongezeka na kufikia 9 tarehe 11 mwezi huu na wagonjwa walikuwa na dalili kama vile maumivu ya kichwa, homa, maumivu ya mgongo, kuhara, kutapika damu, uchovu wa mwili na mwishoni kabisa ni kutoka damu kwenye matundu yote ya mwili.
The WHO said Tuesday that a suspected outbreak of the deadly Marburg virus in Tanzania had killed eight people, warning that the risk of further spread in the country and region was “high”.
Kwa sasa, kimbunga hicho hakiashirii uwezekano wa kusababisha athari za moja kwa moja hapa nchini. Hata hivyo, kutokana na ukaribu wa maeneo ambayo kimbunga “DIKELEDI” kipo sambamba na maeneo ya kusini mwa nchi yetu, upo uwezekano mdogo wa matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo ya Pwani ya kusini hususan katika Mikoa ya Lindi na Mtwara kwa siku ya leo tarehe 14 ya Januari, 2025.
Sarungi suspects her abduction was linked to the Tanzanian government, citing her online activism and advocacy for democratic reforms.
Tsehai alitekwa Jumapili wakati akitoka saluni kutengeneza nywele zake eneo la katikati ya Nairobi ambapo wanaume watatu walimvuta kutoka kwenye teksi yake na kumwingiza kwenye gari lao.
Hii si mara ya kwanza Maria kufatiliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni watekaji ambapo wote waliojaribu kumteka wanahusishwa na mamlaka.