Former Tanzania envoy to Cuba Humphrey Polepole declines police summons
”There are people who want me to go to the police station, where I might be arrested and later disappear, with the police claiming no responsibility”
All news and updates from Tanzania
”There are people who want me to go to the police station, where I might be arrested and later disappear, with the police claiming no responsibility”
Katika kauli yake ya majibu kwa wito huo, Polepole amesema anauchukulia kwa sura mbili; upande wa kwanza akiwaona Polisi wana dhamira njema ya kusikiliza na kukusanya ushahidi, lakini upande wa pili akihisi kuna mbinu na nia ovu zinazoweza kuhatarisha usalama wake.
Frank Nyalusi, the Chairman of the Party for Democracy and Development (CHADEMA) in Iringa Urban Constituency, passed away on the…
Presiding Judge Dastan Nduguru adjourned the matter to Monday September 22nd, when the bench is expected to rule on Lissu’s objections
Upande wa Jamhuri umejibu hoja za mshtakiwa Tundu Lissu kwa kuzipangua moja baada ya nyingine, huku Lissu naye akisisitiza kwa msimamo wake kuwa hati ya mashtaka ya uhaini inayomkabili ni batili na haina uhalali wa kisheria.
Lucy Simon Shayo, a member of Chadema, was arrested on September 10, 2025, in Morogoro, Tanzania. The Morogoro Regional Police…
Lissu alieleza kutoridhishwa kwake na namna Wakili wa Serikali alivyomtaja kama “mwenzetu”, akisisitiza kuwa hana uhusiano wowote na upande huo wa mashtaka.
”We express our grave concern regarding reports of broader repression, including at least one reported case of extrajudicial killing, enforced disappearances, arbitrary detention, degrading treatment or punishment in custody”
”We are alarmed by rising incidents of abductions and escalating cases of human rights violations, including recorded killings of protesters and opposition party members”.
The Catholic Church in Tanzania is mourning the death of Archbishop Novatus Rugambwa, a former Apostolic Nuncio and longtime diplomat…