• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali
East Africa Tanzania Uncategorized

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali

Asia GambaFebruary 18, 2025

Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii
Crime & Justice East Africa People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii

Asia GambaFebruary 18, 2025

Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU
Africa East Africa People Social Issues Tanzania

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU

Asia GambaFebruary 14, 2025

Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.

Lissu insists on ”No reforms, no election” slogan ahead of Tanzania general election
Africa East Africa International Tanzania

Lissu insists on ”No reforms, no election” slogan ahead of Tanzania general election

Kevin SeweFebruary 13, 2025February 13, 2025

‘’How can we go in an election where the president has all the powers to appoint and fire electoral commissioners at his/her will’’?

Tundu Lissu: hakuna uchaguzi Tanzania bila ya mageuzi kwenye tume ya Uchaguzi
Africa East Africa Politics Tanzania

Tundu Lissu: hakuna uchaguzi Tanzania bila ya mageuzi kwenye tume ya Uchaguzi

Kevin SeweFebruary 13, 2025February 13, 2025

“Mapambano haya yatahitaji baraka za kila mmoja wetu, yatahitaji kila mmoja wetu kuweka mkono wake, kila mmoja kuweka kidogo alichonacho, jambo likapata baraka za wengi linapata baraka za Mungu”.

Kenya Ranked 121 Out Of 180 Corrupt Countries In Africa According To TI Data
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Tanzania Uganda

Kenya Ranked 121 Out Of 180 Corrupt Countries In Africa According To TI Data

Wadh KassimFebruary 11, 2025February 11, 2025

The country scored 32 out of 100, showing a slight improvement from 31 points in 2023. However, this score is still below both the Sub-Saharan African average of 33 points and the global average of 43 points.

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania
East Africa People Social Issues Tanzania

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 11, 2025

Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.

Raila’s last shot at power, all you need to know about the AUC election process
Africa East Africa Kenya Tanzania Uganda

Raila’s last shot at power, all you need to know about the AUC election process

Kevin SeweFebruary 10, 2025February 12, 2025

Raila Odinga has reportedly garnered support from at least 28 countries, though 19 heads of state have publicly endorsed him.

Kesi ya waislamu kupinga mamlaka ya BAKWATA kuendelea leo
East Africa Religion Social Issues Tanzania

Kesi ya waislamu kupinga mamlaka ya BAKWATA kuendelea leo

Asia GambaFebruary 6, 2025February 6, 2025

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, ndio waliofungua kesi hiyo ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo