Bunge la Ulaya Lamshutumu Balozi Wake Nchini Tanzania kwa Kukaa Kimya Wakati Lissu Yuko Jela
Bunge la Ulaya leo limemshutumu Balozi wake nchini Tanzania, Bi Christine Grau, kwa kukaa kimya mbele ya ukatili wa kisiasa…
All news and updates from Tanzania
Bunge la Ulaya leo limemshutumu Balozi wake nchini Tanzania, Bi Christine Grau, kwa kukaa kimya mbele ya ukatili wa kisiasa…
We have a similar situation in Tanzania, where the opposition leader is in jail. Yet, our ambassador stays calm and silent, and one of our foreign ministers recently praised the situation. I think that is not acceptable.
Kesi hiyo ilitajwa leo, Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu alionesha wazi kutoridhishwa na hatua hiyo, akidai kuwa upande wa Jamhuri unatumia hila kuchelewesha mchakato wa haki.
Today is the 97th day while in detention. I am being convicted alongside those who have been sentenced to date. I am fed up with these stories.
Polepole revealed that he could no longer serve under the current leadership due to what he described as a deterioration in political ethics, a disregard for citizens’ rights and the decline in integrity within the government.
The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.
Tanzanian rights groups have expressed concerns about the broader implications of the ban, describing it as part of a troubling pattern of digital repression, particularly ahead of the October 2025 elections
”I have no apologies to make for building a church”
Sura mpya inajitokeza katika siasa za vijana wa Kenya maarufu kama Gen Z. Chama cha kisiasa kinachoongozwa na vijana kilichopewa jina ‘47 Voices of Kenya Congress’, kimeingia rasmi kwenye uwanja wa siasa nchini humo.
A new political party, “47 Voices of Kenya Congress Party,” has emerged in Kenya, aiming to provide an alternative political…