Polepole discloses that President Samia’s son, Abdul, is the head of the abduction squad
The group (abductors) that Abdul is leading has many people that I personally know by their names, and I will name them soon
All news and updates from Tanzania
The group (abductors) that Abdul is leading has many people that I personally know by their names, and I will name them soon
Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.
Besigye, mwenye umri wa miaka 69, ni mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni ambaye amekuwa madarakani kwa karibu miaka 40 na amewahi kushindana naye bila mafanikio katika chaguzi nne.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kwamba kazi ya chama hicho kwa sasa ni kuisaka dola kwani mchakato wa kura za maoni zilishapita hivyo hakuna sababu ya kuwa na mgawanyiko tena.
With CHADEMA out and ACT’s candidacy in dispute, CCM heads into the October 29th polls with limited opposition
Nchimbi is a seasoned politician with a long career in both government and diplomacy.
“Najua kulikuwepo na maneno au vijineno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema pale kwenye mkutano mkuu, lakini nasema waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu wa chama chetu na kama wanafahamu labda wamesahau au wanajifanya hamnazo,” alisema Kikwete.
CCM launched its campaigns at Tanganyika Packers grounds in Dar es Salaam, led by President Samia Suluhu Hassan and her running mate Emmanuel Nchimbi.
The High Court in Manyara has overturned the Registrar’s decision that had blocked CHADEMA’s state subsidy and refused to recognize its Secretary General and five Central Committee members. The ruling restores both the party’s leadership and funding, although CHADEMA is still barred from the presidential race.
Moja ya madai makuu ya CHADEMA ni mageuzi ya kisheria na mchakato wa uchaguzi, ambapo wanataka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) irekebishe taratibu za uteuzi na usajili wa wagombea ili vyama vyote viwe na nafasi sawa, bila upendeleo kwa chama tawala.