Kampeni za urais Tanzania kuanza rasmi huku mgombea wa ACT Wazalendo akizuiwa kugombea
Kwa mujibu wa INEC, jumla ya vyama 18 vilivyosajiliwa vitashiriki uchaguzi huu, na wagombea 17 wa urais watashiriki kinyang’anyiro
All news and updates from Tanzania
Kwa mujibu wa INEC, jumla ya vyama 18 vilivyosajiliwa vitashiriki uchaguzi huu, na wagombea 17 wa urais watashiriki kinyang’anyiro
Ahadi hiyo imetolewa jana katika mazungumzo yake na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, yaliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
The two discussed Tundu Lissu’s case, where President Samia Suluhu has promised to look into it, without interfering with court proceedings.
Prominent Kenyan activist and staunch government critic Boniface Mwangi announced Wednesday he would run for president in 2027, just weeks…
Katika taarifa yake kwa umma, chama hicho kimeeleza kuwa hatua ya Msajili haina mashiko ya kisheria kwa kuwa mchakato wa uchaguzi tayari umeshaanza, huku Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikiwagawia wagombea fomu za kugombea urais. Kwa mujibu wa ACT Wazalendo, Msajili hana mamlaka ya kuingilia hatua hiyo, zaidi ya kushughulikia malalamiko kwa njia ya pingamizi.
ACT Wazalendo has rejected the ruling, calling it interference in the election process. Party Secretary General Ado Shaibu said Mpina had already fulfilled all requirements, including picking nomination forms, securing sponsors and swearing before court.
Analysts say her experience on the world stage could help reposition CCM as it seeks to appeal not only to Tanzanian voters but also to the wider international community.
In recent elections, particularly the presidential results, the ruling party, CCM, has consistently won with a landslide, raising questions about the authenticity of Tanzania’s election management.
“Let us make sure justice is done at every stage, because where there is justice, God’s blessings follow. Our message to INEC is this, stand firm and do justice to all,” President Samia said.
According to CHADEMA, elections cannot be free or fair without first carrying out Electoral Reforms to strengthen the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) and restore public trust.