Malawi yaomba chanjo zaidi kupambana na mlipuko wa kipindupindu
Nchi hiyo inahofia mvua kubwa inaweza kuzidisha mlipuko wa ugonjwa huo unaosababishwa na maji ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu 128
Nchi hiyo inahofia mvua kubwa inaweza kuzidisha mlipuko wa ugonjwa huo unaosababishwa na maji ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu 128
The world’s newest nation is reeling from four consecutive years of flooding, with the disaster now affecting nine out of ten states
Muongo mmoja uliopita uzalishaji na uagizaji wa mazao ya GMO ulipigwa marufuku na serikali ya Kenya kwa misingi kuwa ni hatari kwa afya ya binadamu.
After years of decline, the planet is now witnessing a “worrying upsurge” in cholera outbreaks, the World Health Organization warned
Ugandan President Yoweri Museveni has criticized the European Union (EU) parliament for calling on his government to halt a strategic pipeline project with neighbouring Tanzania.
Ni kisa kimoja tu cha virusi kilichothibitishwa, kulingana na taarifa ya Shirika la Afya Duniani, na kufanya mlipuko wa Ebola nchini Congo kuwa “janga kidogo”.
Takriban watu 11, wakiwemo polisi wanane na chifu wa eneo hilo, wameuawa kaskazini mwa Kenya na wezi wa mifugo
Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemrejesha nchini Marekani Abdi Husein ili kujibu mashtaka ya uhalifu yanayohusisha ulanguzi wa dawa za kulevya na ujangili wa wanyamapori.
Scientists in Zimbabwe have discovered the remains of Africa’s oldest dinosaur, which roamed the earth around 230 million years ago.
Tanzania has installed high-speed internet services on the slopes of Mount Kilimanjaro, allowing anyone with a smartphone to tweet, Instagram or WhatsApp their ascent up the mountain