Tanzania installs internet on Mount Kilimanjaro for Insta-ascents
Tanzania has installed high-speed internet services on the slopes of Mount Kilimanjaro, allowing anyone with a smartphone to tweet, Instagram or WhatsApp their ascent up the mountain
Tanzania has installed high-speed internet services on the slopes of Mount Kilimanjaro, allowing anyone with a smartphone to tweet, Instagram or WhatsApp their ascent up the mountain
Two women died in forest fires in a region of northern Morocco that had already been ravaged by wildfires this…
Kenya ni nyumbani kwa spishi tatu ndogo za twiga, Maasai, reticutated na Rothschild.
Simba sita waliuliwa baada ya kutoroka kutoka kwa mbuga ya wanyama ya Afrika Kusini na kuwatia hofu watu wanaoishi karibu,
Kituo cha Utafiti cha Pamoja cha Tume ya Ulaya kilisema kuwa asilimia 46 ya eneo la Umoja wa Ulaya limekabiliwa na ukame wa kiwango cha juu, huku asilimia 11 ikiwa katika kiwango cha tahadhari
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake
Tourism income from Brar’s company supports the local community in many ways, helping to provide water for people and livestock and generating jobs. All of the rangers and almost all of Selenkay’s staff are Maasai.
Tetemeko la kipimo cha 5.9 lilipiga jimbo la Paktika mashariki mwa nchi, na kuua zaidi ya watu 1,000 na kuwaacha makumi kwa maelfu bila makazi.
Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.