Tetemeko la ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter lapiga pwani ya Nicaragua: USGS
Tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.7 lilitokea kwenye pwani ya magharibi ya Nicaragua siku ya Alhamisi,
Tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.7 lilitokea kwenye pwani ya magharibi ya Nicaragua siku ya Alhamisi,
Wanasayansi wanaonya kuwa mafuriko na matukio mengine mabaya ya hali ya hewa yanazidi kuwa na nguvu kadiri dunia inavyozidi kuwa na joto kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa.
One tree at a time, local villagers are bringing the estuary back to life.
UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.
Kuhamishwa kwa ndovu hao hadi kwa hifadhi ya Kenya itagharimu pauni 950,000 (dola milioni 1.2), kulingana na Wakfu wa Aspinall, kikundi cha uhifadhi wa wanyama pori.
Kimbunga Gombe kilipiga mkoa wa Nampula usiku wa Alhamisi-Ijumaa kikiambatana na upepo mkali — kilitabiriwa kufikia kilomita 160 kwa saa (100 mph)
Mwanaume huyo wa Kimasai, 45, alifariki dunia papo hapo katika shambulio la tembo Jumatano wakati kundi la wakazi hao lilipokwenda kukusanya kuni
Mlipuko wa mlima Merapi mkubwa wa mwisho ulifanyika 2010 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300 huku takriban wakaazi 280,000 wakiyahama makaazi yao
A critically endangered species of bats not sighted in 40 years has been found in Rwanda, with the “incredible” discovery delighting conservationists who had feared it was already extinct.
The amount of plastic trash entering the oceans is forecast to triple by 2040.