DRC: Askari aliyeshikiliwa kwa uwindaji haramu na kumteka mtoto wa tumbili aachiliwa
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake
Mfumuko wa bei za vyakula uliongezeka zaidi ya mara mbili hadi asilimia 13.1 mwezi Mei, kulingana na takwimu za hivi punde za serikali.
Algeria ilijipatia uhuru wake kufuatia vita vikali vya miaka minane, ambavyo vilimalizika kwa kutiwa saini kwa Mkataba wa Evian mnamo Machi 1962.
Huku bei ya ngano ikiendela kupanda kutokana na vita nchini Ukraine, waokaji mikate Ivory Coast wanaanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate.
Kesi ya wahamiaji 36 wanaoshtakiwa kwa ‘kuingia Morocco kinyume cha sheria,’ ilianza Jumatatu siku chache baada ya jaribio kubwa la kuvuka hadi katika eneo la Uhispania.
Ebola ni homa ya virusi inayosababisha kuvuja damu ambayo iligunduliwa kwa mara ya kwanza Afrika ya kati mwaka wa 1976.
Benki inayomilikiwa na serikali ya Banque Misr ya Misri na Ziraat Katilim ya Uturuki zitakuwa benki za kwanza za kimataifa kufanya kazi nchini humo,
Wanawake wawili, mmoja raia wa Austria na mwingine raia wa Romania, waliuawa katika shambulio la papa katika bahari ya Red Sea
Mali ilifanya mapinduzi Agosti 2020 na Mei 2021, ikifuatiwa na Guinea Septemba 2021 na Burkina Faso mwezi Januari
Polisi wa Nigeria wamewaokoa makumi ya watu, wakiwemo watoto, kutoka kwenye chumba cha chini cha kanisa ambako walikuwa wameambiwa wangojee kile walichoamini kungekuwa ujio wa pili wa Kristo