• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Kenya: Rais Kenyatta awataja wakuu 142 wa mashirika ya serikali katika uteuzi wake wa mwisho
East Africa Features

Kenya: Rais Kenyatta awataja wakuu 142 wa mashirika ya serikali katika uteuzi wake wa mwisho

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Huku kukiwa zimesalia wiki tatu tu kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaoashiria mwisho wa muhula wake, Rais Kenyatta amefanya uteuzi wa watu 142 katika bodi za mashirika mbalimbali ya serikali.

Afrika Kusini: Polisi wawakamata watu wawili baada ya mashambulizi kwenye baa
Africa Features

Afrika Kusini: Polisi wawakamata watu wawili baada ya mashambulizi kwenye baa

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Polisi wamewakamata watu wawili kuhusiana na moja kati ya matukio mawili ya ufyatuaji risasi kwenye baa ambayo yalisababisha vifo vya watu 19,

DRC: Askari aliyeshikiliwa kwa uwindaji haramu na kumteka mtoto wa tumbili aachiliwa
Africa Features Nature

DRC: Askari aliyeshikiliwa kwa uwindaji haramu na kumteka mtoto wa tumbili aachiliwa

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake

Uganda yawakamata wanane waliokuwa wakiandamana kupinga gharama za maisha
East Africa Features Politics

Uganda yawakamata wanane waliokuwa wakiandamana kupinga gharama za maisha

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Mfumuko wa bei za vyakula uliongezeka zaidi ya mara mbili hadi asilimia 13.1 mwezi Mei, kulingana na takwimu za hivi punde za serikali.

Algeria inaadhimisha miaka 60 ya uhuru kutoka kwa Ufaransa
Africa Features Politics

Algeria inaadhimisha miaka 60 ya uhuru kutoka kwa Ufaransa

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Algeria ilijipatia uhuru wake kufuatia vita vikali vya miaka minane, ambavyo vilimalizika kwa kutiwa saini kwa Mkataba wa Evian mnamo Machi 1962.

Ivory coast kuanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate
Africa Features

Ivory coast kuanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Huku bei ya ngano ikiendela kupanda kutokana na vita nchini Ukraine, waokaji mikate Ivory Coast wanaanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate.

Morocco yawafungulia mashtaka wahamiaji baada ya janga la Melilla
Africa Features

Morocco yawafungulia mashtaka wahamiaji baada ya janga la Melilla

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kesi ya wahamiaji 36 wanaoshtakiwa kwa ‘kuingia Morocco kinyume cha sheria,’ ilianza Jumatatu siku chache baada ya jaribio kubwa la kuvuka hadi katika eneo la Uhispania.

DR Congo yatangaza mwisho wa mlipuko wa hivi punde wa Ebola
Africa Features Lifestyle & Health

DR Congo yatangaza mwisho wa mlipuko wa hivi punde wa Ebola

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Ebola ni homa ya virusi inayosababisha kuvuja damu ambayo iligunduliwa kwa mara ya kwanza Afrika ya kati mwaka wa 1976.

Somalia yatoa leseni za kwanza kwa benki za kigeni
Africa Features Politics

Somalia yatoa leseni za kwanza kwa benki za kigeni

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Benki inayomilikiwa na serikali ya Banque Misr ya Misri na Ziraat Katilim ya Uturuki zitakuwa benki za kwanza za kimataifa kufanya kazi nchini humo,

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa
Africa Features

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Wanawake wawili, mmoja raia wa Austria na mwingine raia wa Romania, waliuawa katika shambulio la papa katika bahari ya Red Sea

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo