• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela
Africa Features People Politics

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Maandamano yaliyoidhinishwa mnamo dhidi ya uwepo wa jeshi la Ufaransa nchini Chad yaligeuka kuwa ya vurugu. Vituo vya mafuta vya kampuni ya Ufaransa ya Total vilishambuliwa

Kenya: Kiwanda cha Pwani Oil chafungwa, walaumu uhaba wa dola
Business / Finance Features

Kenya: Kiwanda cha Pwani Oil chafungwa, walaumu uhaba wa dola

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Kiwanda cha Pwani Oil kinachozalisha mafuta ya kupikia aina ya Freshfri, Salit na Fry Mate, imekifungia kiwanda kutokana na uhaba wa malighafi iliyoshindwa kuagiza kutokana na uhaba wa dola

Msimamizi wa bohari ya Bangladesh ashtumiwa kwa mlipuko ulioua takriban watu 49
Asia Features

Msimamizi wa bohari ya Bangladesh ashtumiwa kwa mlipuko ulioua takriban watu 49

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi

Nigeria: Watu wenye silaha waua waumini katika shambulizi kanisani
Africa Features

Nigeria: Watu wenye silaha waua waumini katika shambulizi kanisani

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Watu wenye silaha na vilipuzi walivamia kanisa la Kikatoliki na kufyatua risasi na kuua waumini kwenye kanisa kusini magharibi mwa Nigeria

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi
Africa Features People Politics

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II
Europe Features International People

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Mnamo Februari 6, Malkia Elizabeth II anakuwa kiongozi wa kwanza katika historia ya Uingereza kutawala kwa miaka 70.

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi
Europe Features

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Katika siku ya 100 ya uvamizi wa Urusi, mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki, ambapo vikosi vya Moscow vinaimarisha udhibiti wake katika eneo la Donbas la Ukraine.

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano
Africa Features Politics

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi
Africa Features People Politics

Kiongozi wa Umoja wa Afrika kuzungumza na Putin Ijumaa nchini Urusi

Maureen MedzaJune 2, 2022June 2, 2022

Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo