Msimamizi wa bohari ya Bangladesh ashtumiwa kwa mlipuko ulioua takriban watu 49
Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi
Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi
Watu wenye silaha na vilipuzi walivamia kanisa la Kikatoliki na kufyatua risasi na kuua waumini kwenye kanisa kusini magharibi mwa Nigeria
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao
Mnamo Februari 6, Malkia Elizabeth II anakuwa kiongozi wa kwanza katika historia ya Uingereza kutawala kwa miaka 70.
Katika siku ya 100 ya uvamizi wa Urusi, mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki, ambapo vikosi vya Moscow vinaimarisha udhibiti wake katika eneo la Donbas la Ukraine.
Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.
Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika
Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.
Kama vile mfululizo wa vipindi vya Real Housewives vinavyorekodiwa huko Amerika, onyesho hili litafuata maisha ya wanawake matajiri huko Dubai
Zaidi ya watu milioni 16.7 katika nchi hizo tatu wanakabiliwa na njaa kali huku idadi ikitarajiwa kuongezeka hadi milioni 20 ifikapo Septemba.