Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Maandamano yaliyoidhinishwa mnamo dhidi ya uwepo wa jeshi la Ufaransa nchini Chad yaligeuka kuwa ya vurugu. Vituo vya mafuta vya kampuni ya Ufaransa ya Total vilishambuliwa
Kiwanda cha Pwani Oil kinachozalisha mafuta ya kupikia aina ya Freshfri, Salit na Fry Mate, imekifungia kiwanda kutokana na uhaba wa malighafi iliyoshindwa kuagiza kutokana na uhaba wa dola
Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi
Watu wenye silaha na vilipuzi walivamia kanisa la Kikatoliki na kufyatua risasi na kuua waumini kwenye kanisa kusini magharibi mwa Nigeria
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao
Mnamo Februari 6, Malkia Elizabeth II anakuwa kiongozi wa kwanza katika historia ya Uingereza kutawala kwa miaka 70.
Katika siku ya 100 ya uvamizi wa Urusi, mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki, ambapo vikosi vya Moscow vinaimarisha udhibiti wake katika eneo la Donbas la Ukraine.
Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.
Ziara hiyo iliandaliwa baada ya mwaliko wa Putin, na Sall atasafiri na rais wa Tume ya Umoja wa Afrika