Maandamano ya kupinga ongezeko la bei za bidhaa muhimu lafanyika jijini Nairobi,Kenya
Kufikia mwisho wa Februari 2022, Wakenya milioni 3.1 kati ya milioni 47 walikuwa wanahitaji msaada wa chakula.
Kufikia mwisho wa Februari 2022, Wakenya milioni 3.1 kati ya milioni 47 walikuwa wanahitaji msaada wa chakula.
Kaulimbiu ya mkutano huo mwaka huu ni, “Wajibu wa miji ya barani Afrika katika utekelezaji wa Ajenda ya Umoja wa Mataifa ya 2030 na Ajenda ya 2063 ya Umoja wa Afrika.
Maandamano yalifanyika siku chache baada ya mwanamke mwingine kushutumiwa kwa kukufuru na kuuawa na kundi la watu katika jimbo la Sokoto.
Kikosi cha kijeshi cha Mali kilisema kilizuia jaribio la mapinduzi wiki iliyopita lililoongozwa na maafisa wa jeshi na kuungwa mkono na nchi ya Magharibi
Rais Umaro Sissoco Embalo alivunja bunge la Guinea-Bissau na kusema uchaguzi wa mapema wa bunge utafanyika mwaka huu ili kutatua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa muda mrefu.
Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.
Rigathi Gachagua, ambaye alihudumu kama msaidizi wa kibinafsi wa Kenyatta kati ya 2001 na 2006, alichaguliwa baada ya mchakato wa usiri wa miezi kadhaa
Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.
Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.
Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20