Michezo ya Jumuiya ya Madola kuzinduliwa kwa mbwembwe mjini Birmingham
Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.
Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.
Benin imewaachia huru wafuasi 30 wa upinzani waliokamatwa wakati wa uchaguzi wa 2021 ambapo Rais Patrice Talon alishinda muhula wa pili
Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9
Almasi hiyo adimu imepewa jina ‘Lulo Rose’ iligunduliwa katika mgodi wa Lulo nchini Angola na Kampuni ya Lucapa Diamond.
Zaidi ya visa 3,800 vya monkeypox vimeripotiwa nchini Amerika, idadi kubwa zaidi katika nchi yoyote ulimwenguni, data ya afya ya serikali inaonyesha.
Tunisia imeidhinisha katiba mpya inayotoa mamlaka makuu kwa ofisi ya Rais Kais Saied, bodi ya uchaguzi ilisema, baada ya kura ya maoni iliyokuwa na wapiga kura wachache kuunga mkono katiba hiyo mpya
Hasira imechochewa na dhana kwamba MONUSCO, ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), unashindwa kufanya vya kutosha kukomesha mashambulizi ya makundi yenye silaha.
Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma
Namibia imepoteza nafasi yake ya kwanza kwenye Fahirisi ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ya 2022 kwa Afrika, ikiibuka katika nambari ya pili.
Magenge ambayo yamekuwa yakiendeleza mauaji bila kuadhibiwa kwa kiasi kikubwa yameweza kufikia vitongoji duni vya mji mkuu wa Haiti, wakitekeleza wimbi la utekaji nyara.