Category: Features
Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia
Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.
Misri: Mahakama inataka hukumu ya kifo cha mwanamume kuonyeshwa mbashara kwenye televisheni
Mohamed Adel alipatikana na hatia mwezi uliopita kwa ‘mauaji ya kukusudia’ ya Nayera Ashraf, mwanafunzi mwenzake wa chuo kikuu ambaye alikataa kuwa katika uhusiano nae.
HRW: Waasi wa M23 wamewaua raia 29 nchini DR Congo tangu katikati ya Juni
Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.
Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.
Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi
Tume Huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) imelaani kukamatwa kwa maafisa watatu kutoka kwa kampuni inayosambaza mifumo ya kielektroniki ya kupigia kura kwa uchaguzi wa mwezi ujao.
Kenya: Wanaotafuta kazi mawindo rahisi kwa walaghai mtandaoni
Matangazo mengi ya nafasi za ajira zina dalili zinazofanana: zina makataa mafupi, huahidi mishahara mikubwa na mara nyingi hujumuisha kiungo kwenye jukwaa la nje la mtandao linaloomba maelezo ya kibinafsi.
Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ajiuzulu
Kujiuzulu kwa Draghi kumekuja baada ya vyama kadhaa muhimu katika muungano wake vuguvugu lenye nguvu la 5-Star, chama kikubwa zaidi katika serikali ya mseto ya nchi hiyo, kususia kura ya imani
Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Polisi wa Malawi wawakamata watu 76 baada ya maandamano ya siku nzima
Polisi na waandamanaji walikabiliana katika vitongoji vya Area 36, Area 23 na Falls Estate baada ya waandamanaji kufunga barabara kuu kwa matairi ya moto.