• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Football

Kenya, Tanzania na Uganda zimezindua zabuni ya pamoja kwa ajili ya AFCON 2027
Africa East Africa Football Sports

Kenya, Tanzania na Uganda zimezindua zabuni ya pamoja kwa ajili ya AFCON 2027

Joy CheptooApril 27, 2023April 27, 2023

Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili

Mkewe Hakimi Apigwa Na Butwaa Baada Ya Kugundua Nyota Huyo ‘Hamiliki’ Chochote
Football

Mkewe Hakimi Apigwa Na Butwaa Baada Ya Kugundua Nyota Huyo ‘Hamiliki’ Chochote

Kevin SeweApril 15, 2023April 15, 2023

Nyumba zake zote, magari, nguo, na vito vyake vyote vilipatikana kuwa katika jina la mama yake, na mamilioni ya mshahara yaliwekwa kwenye akaunti zenye jina la mama yake

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon
Africa Football Sports

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon

Mwanzo EditorMarch 24, 2023March 24, 2023

Kocha wa zamani wa kandanda nchini DR Congo amesimamishwa kazi kwa muda wa miezi mitano baada ya uchunguzi wa awali…

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo
Football Sports

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo

Asia GambaMarch 24, 2023March 24, 2023

Timu ya Taifa nchini Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani leo nchini Misri kuikabili The Cranes (Uganda) katika mchezo wa tatu wa Kundi F wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast.

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji
Europe Football

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji

Kevin SeweMarch 22, 2023July 2, 2024

Kiungo wa kati wa Manchester city Kevin De Bruyne amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji kufuatia kustaafu kwa Eden Hazard.

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa
Football People Sports

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa

Joy CheptooMarch 21, 2023March 21, 2023

Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027
Football People Sports

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.
Europe Football Sports

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.
Africa Europe Football Sports

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.

Arsenal regain top spot after dramatic finish sinks Villa
Football

Arsenal regain top spot after dramatic finish sinks Villa

Mwanzo EditorFebruary 18, 2023February 18, 2023

Arsenal were without a win in their previous three top-flight games and last four in all competitions, but this spirited victory will give them renewed belief

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy