Mwanamke kutoka Kenya anadaiwa kumuuma mwanamke mwingine vidole na kuvitafuna.
Inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 45, alimshambulia mwathiriwa kwa kumpiga na kumuuma vidole ili amtoe pepo.
Inadaiwa kuwa, mtuhumiwa huyo mwenye umri wa miaka 45, alimshambulia mwathiriwa kwa kumpiga na kumuuma vidole ili amtoe pepo.
Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.
Investigators report allegations of sexual abuse by WHO staff deployed to fight an Ebola outbreak in the DRC
The Taliban group plans to temporarily adopt a 1964 constitution that granted women the right to vote
Nyota wa muziki kutoka Marekani,Robert Kelly maarufu R.Kelly amepatikana na hatia ya kutumia umaarufu wake katika kuongoza mradi wa unyanyasaji wa ngono dhidi ya wanawake na watoto kwa takriban miaka 30.
Mwaka wa 2020, India ilirekodi visa 28,046 vya ubakaji ikiwa ni takriban visa 77 vya ubakaji kila siku.
Mwaka wa 2021 pekee wakenya 41 wamepoteza maisha yao na wengine 1,025 wakiwa katika hali mbaya,28 kati ya 41 wakiwa wafanyakazi wa nyumbani.
“Perpetrators of gender based violence in Africa are never afraid of getting caught because there is usually no incriminating evidence.” -Florence Machio