Qatar holds first legislative elections in its history on Saturday
The state will choose members of its top advisory panel, known as the Shura Council.
The state will choose members of its top advisory panel, known as the Shura Council.
Takriban watu 20,000 wengi wao waliosafiri kwa treni kutoka miji ya Atbara na Madani, walikusanyika katika mji mkuu Khartoum Alhamis 30.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
The Taliban group plans to temporarily adopt a 1964 constitution that granted women the right to vote
Taliban yapiga marufuku vinyozi kuwanyoa wanaume vichwa na ndevu, wakisema kunyoa kunakwenda kinyume na maadili ya dini ya kiislamu.
Mwaka wa 2021 pekee wakenya 41 wamepoteza maisha yao na wengine 1,025 wakiwa katika hali mbaya,28 kati ya 41 wakiwa wafanyakazi wa nyumbani.
Wakuu wa nchi, zaidi ya mawaziri 30, maafisa wa ngazi za juu serikalini na viongozi mashuhuri kutoka Afrika wamethibitisha kuhudhuria mkutano wa awamu ya sita wa Jukwaa la Biashara la Afrika (GBF Africa) utakaofanyika Oktoba 13- 14, 2021 katika Expo 2020 Dubai.
Aghans have been fleeing for their lives since Monday, with thousands flocking Kabul Airport. The fear of the Taliban is so evident that on Sunday, Afghan President Ashraf Ghani fled the country, abandoning the presidential palace to Taliban fighters saying he did not want to be part of any bloodshed.