Indonesia: Mamia ya watu wakimbia makazi yao baada ya volkano kulipuka
Mlipuko wa mlima Merapi mkubwa wa mwisho ulifanyika 2010 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300 huku takriban wakaazi 280,000 wakiyahama makaazi yao
Mlipuko wa mlima Merapi mkubwa wa mwisho ulifanyika 2010 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300 huku takriban wakaazi 280,000 wakiyahama makaazi yao
Kampuni nyingine McDonald’s, Coca-Cola na Starbucks waliondoa biashara zao Urusi
Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.
“Kushindwa kwa usambazaji sawa wa chanjo ni matokeo ya moja kwa moja ya maamuzi ya kisera na kibajeti ambayo yanatanguliza afya ya watu katika nchi tajiri kuliko afya ya watu wa nchi maskini,”alisema Guterres.
Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.
Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”
Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.
Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.
Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.
UK gas hit 508.80 pence per therm.