Ethiopia’s economy hit as major clothing maker closes shop
Ethiopia’s once rapidly growing economy is taking another hit tied to its yearlong war, with global clothing manufacturer PVH Corp.
Ethiopia’s once rapidly growing economy is taking another hit tied to its yearlong war, with global clothing manufacturer PVH Corp.
Kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529 kimegunduliwa pia nchini Botswana na Hong Kong miongoni mwa wasafiri kutoka Afrika Kusini.
The Democratic Republic of Congo has been granted the green light by the Council of Ministers to join the East African Community (EAC).
Regional ministers have proposed reducing the number of East African Legislative Assembly (EALA) members elected from each partner state from nine to five,
Joseph Kabila na familia yake wanatuhumiwa kunyakua $138 milioni za serikali.
Watu watano wameuawa na wengine zaidi kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye gari mjini Mogadishu siku ya Alhamisi,
Wanariadha Haile Gebrselassie na Feyisa Lilesa wamesema wako tayari kwenda mstari wa mbele katika vita dhidi ya vikosi vya waasi.
Zaidi ya watu milioni 2.8 kati ya watu milioni saba wa Libya wamejiandikisha kupiga kura.
“15 minute city” ni mji ambapo wakaazi wote wanaweza kufikia sehemu zao kazi na maeneo ya burudani ndani ya robo saa kwa kutembea au kuendesha baiskeli
Agizo hilo lilitolewa baada ya Ufaransa kuwa nchi ya hivi punde kuwashauri raia wake kuondoka Ethiopia, kufuatia ushauri sawa na wa Amerika na Uingereza