Kongamano la Africities laanza rasmi mjini Kisumu,Kenya
Kaulimbiu ya mkutano huo mwaka huu ni, “Wajibu wa miji ya barani Afrika katika utekelezaji wa Ajenda ya Umoja wa Mataifa ya 2030 na Ajenda ya 2063 ya Umoja wa Afrika.
Kaulimbiu ya mkutano huo mwaka huu ni, “Wajibu wa miji ya barani Afrika katika utekelezaji wa Ajenda ya Umoja wa Mataifa ya 2030 na Ajenda ya 2063 ya Umoja wa Afrika.
Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.
Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.
Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20
Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.
Malkia Elizabeth II mwenye umri wa miaka 96 kwa kawaida husimamia tukio hilo lililojaa fahari
Akhundzada pia aliamuru mamlaka kuwafuta kazi wafanyikazi wa serikali wa kike ambao hawafuati kanuni mpya ya mavazi, na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa kiume ikiwa wake na binti zao watakosa kufuata sheria hizo.
Ushindi wa Marcos ni pigo kubwa kwa mamilioni ya Wafilipino ambao walitarajia kubadili mwelekeo baada ya miaka sita ya umwagaji damu ya utawala wa kimabavu wa Rais Rodrigo Duterte.
The floor of the bridge is made from French-produced tempered glass, making it strong enough to support up to 450 people at a time
Queen Elizabeth’s son Prince Andrew, her grandson Harry and his wife Meghan will not join her on the Buckingham Palace balcony for this year’s Trooping the Colour, royal officials said on Friday.