AU urges probe into deaths of Africans at Spain-Morocco border
At least 23 migrants died and 140 police officers were wounded in the ensuing violence, according to Moroccan authorities.
At least 23 migrants died and 140 police officers were wounded in the ensuing violence, according to Moroccan authorities.
Serikali ya mkoa wa Eastern Cape ilisema wasichana wanane na wavulana 13 walifariki kwenye tavern, katika eneo la makazi linaloitwa Scenery Park.
Shirika la Afya Duniani lilisema wiki iliyopita kwamba Ulaya imesalia kuwa kitovu cha mlipuko wa monkeypox duniani.
Ni nchi nne pekee (Mauritius, Namibia, Seychelles na Afrika Kusini) zimetimiza uwiano wa mfanyakazi wa afya wa WHO kwa idadi ya watu.
chanjo dhidi ya ndui inaweza pia kutumika dhidi ya monkeypox, kabla na baada ya kuambukizwa virusi.
Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.
Misimu minne mfululizo ya mvua haikunyesha katika eneo la Pembe ya Afrika, huku ya tano ikitarajiwa pia kuwa mbaya, na kusababisha ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40 na mzozo mkubwa wa njaa unaohusisha Kenya, Somalia na Ethiopia.
The regional director also warned that the risk was increasing as summer had arrived with “tourism, various Pride events, music festivals and other mass gatherings planned across the region.”
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema Jumatano Ulaya inasalia kuwa kitovu cha mlipuko wa Monkeypox duniani, huku visa zaidi ya 1,500 vikiripotiwa katika eneo hilo.
Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.