Tanzania tightens borders to contain yellow fever
Tanzania has tightened its border control to prevent the spread of yellow fever after cases were reported in neighbouring countries.…
Tanzania has tightened its border control to prevent the spread of yellow fever after cases were reported in neighbouring countries.…
Licha ya kuwepo kwa vuguvugu la kupinga chanjo nchini humo, Vituo vya Amerika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) vinasema zaidi ya asilimia 80 ya watu wamechanjwa
Tangazo hilo linakuja wakati viwango vya maambukizi ya UVIKO-19 vikiwa vimepungua hadi asilimia moja au chini zaidi katika mwezi mmoja uliopita, Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alisema.
The chocolate industry is huge and it is estimated that the chocolate confectionary market is valued at over 200 billion…
“Kushindwa kwa usambazaji sawa wa chanjo ni matokeo ya moja kwa moja ya maamuzi ya kisera na kibajeti ambayo yanatanguliza afya ya watu katika nchi tajiri kuliko afya ya watu wa nchi maskini,”alisema Guterres.
Moderna ilisema ilitarajia kuwekeza dola milioni 500 katika kituo hicho kipya, ambacho kitatoa chanjo kwa bara la watu bilioni 1.3.
Ugonjwa huo huenezwa na mbu wale wale wanaoneza magonjwa ya Zika na dengue.
Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.
Afrika Kusini iliripoti karibu vifo 100,000 vilivyotokana na UVIKO 19, na zaidi ya kesi milioni 3.6 za maambukizi.
UNHCR announced that 660,000 people had already fled Ukraine to neighbouring countries and that figures were increasing “exponentially”.