US Loses 92,000 Jobs in February in Surprise Decline: Gov’t
Economists had widely expected a sharp slowdown in job growth, although not an outright decline.
Economists had widely expected a sharp slowdown in job growth, although not an outright decline.
Uamuzi wa mahakama unatarajiwa kufafanua iwapo hatua zilizochukuliwa wakati wa uchaguzi wa Tanzania wa mwaka 2020 zilizingatia viwango vinavyotakiwa chini ya sheria za Afrika kuhusu haki za binadamu na uchaguzi.
The ruling is expected to clarify whether the actions taken during Tanzania’s 2020 elections met the standards required under African human rights and electoral laws.
Iran has effectively shut down the Strait of Hormuz, through which a fifth of the world’s crude and considerable supplies of liquefied natural gas travel.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…
Kenya has historically been seen as a safe space for exiled activists and regional human rights defenders. However, recent events have raised questions about whether that space is shrinking.
The Ministry urged citizens to take preventive measures such as covering the mouth and nose when coughing or sneezing, frequent handwashing with soap and running water or using sanitizers, avoiding unnecessary crowding, and wearing masks when symptomatic or in crowded areas.
Mahakama ilibaini kuwa notisi iliyowasilishwa na Jamhuri ilikuwa ya maelezo ya nyongeza yasiyoangukia katika masharti ya kifungu hicho, hivyo haikuwa na msingi wa kupokelewa katika hatua ya sasa ya shauri.
International charities and NGOs have also come under attack, with medical facilities destroyed and food convoys assaulted and looted.
Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.