Kenyan Activists Reportedly Abducted in Uganda During Bobi Wine Campaign
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.
Kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi kilikuwa kinangoja uteuzi wa waziri mkuu mpya baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake lote la mawaziri Jumatatu, hatua aliyochukua kutuliza maandamano yaliyoshika kasi tangu Septemba 25 kutokana na malalamiko ya uongozi mbaya pamoja na ukosefu wa maji na umeme.
Waandamanaji nchini Madagascar wameitisha maandamano mapya leo Jumanne, siku moja baada ya Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina kuvunja serikali yake kwa lengo la kutuliza ghasia zilizosababisha vifo vya watu 22, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
Wiki iliyopita maandamano ya siku mbili yaliibuka na kusababisha makabiliano kati ya vijana na polisi. Waandamanaji, waliyoitishwa kupitia mitandao ya kijamii na vuguvugu la “Gen Z”, walilalamikia kukatika kwa maji na umeme kunakolikithiri katika taifa hilo maskini.
Norah works with communities, movements and activists across the country to fight corruption, push for gender equality and demand justice
The three confirmed through public statements on X, formerly Twitter, that they are ready to testify for Lissu after he listed them among his defense witnesses earlier this week.
She has faced several challenges like being arrested, followed and threatened but she still remains determined to show up and fight for justice.
Aloikin has led and participated in several anti-corruption protests, spoken up about military detention of civilians and continues to challenge Uganda’s political system through both grassroots and digital activism.
Presiding Judge Dastan Nduguru adjourned the matter to Monday September 22nd, when the bench is expected to rule on Lissu’s objections
During the hearings, tensions ran high as supporters of the opposition party CHADEMA briefly boycotted proceedings, alleging harassment and restricted access to the courtroom.