Makundi ya Haki za Kibinadamu Kuandaa Maandamano Nairobi, Yadai Kizza Besigye Aachiliwe
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.
Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.
Alongside their prison terms, Waititu, his wife and other convicted officials have been barred from holding public office for the next ten years
Speaker Moses Wetang’ula confronted Salasya about the claims, but the MP denied any wrongdoing, arguing that he does not personally manage his social media accounts.
The African Union Commission will hold elections for its next chairperson on February 15 and 16
Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.
Odinga atamenyana na Mohamoud Youssouf wa Djibouti na Richard Randriamandrato wa Madagascar.
Six countries, Mali, Guinea, Burkina Faso, Sudan, Niger, and Gabon, will not participate due to sanctions resulting from political instability