• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: People

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania
East Africa People Sports

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania

Mwanzo EditorMarch 6, 2023March 6, 2023

Amrouche,58, amewai kuitia makali timu ya soka ya Burundi, Equatorial Guinea, Botswana, Libya na Yemen

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani
Africa People Politics

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekuwa na madai ya udanganyifu na ghasia

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi
East Africa People Politics

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga
East Africa People

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga

Joy CheptooFebruary 28, 2023February 28, 2023

Serikali ya Uganda mwezi uliopita iliunda kamati kuchunguza madai ya “kukuzwa” kwa haki za mashoga

Uchaguzi wa Nigeria 2023: Peter Obi ashinda Lagos dhidi ya Bola Tinubu katika matokeo ya awali
Africa People Politics

Uchaguzi wa Nigeria 2023: Peter Obi ashinda Lagos dhidi ya Bola Tinubu katika matokeo ya awali

Mwanzo EditorFebruary 27, 2023February 27, 2023

Mgombea urais wa chama cha tatu kwa ukubwa nchini Nigeria alisababisha ushindani mkali ambao ulizua ghadhabu kubwa kwa kushinda katika…

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha
Africa East Africa Environment People

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha

Mwanzo EditorFebruary 27, 2023February 27, 2023

Rais wa Kenya William Ruto alisema jana kuwa wafugaji wa kaskazini hawataruhusiwa tena kubeba silaha wakati wanachunga ng’ombe wao huku kukiwa na operesheni ya kuwapokonya silaha.

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame
East Africa Environment People

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame

Joy CheptooFebruary 27, 2023February 27, 2023

Biden alitoa wito wa kuangaziwa zaidi juu ya ukame uliovunja rekodi ambao unatishia watu milioni 22 nchini Kenya, Somalia na Ethiopia na njaa

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata
Africa Arts & Culture East Africa Gender People

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya
Africa East Africa People Politics

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi
Africa People Politics

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi

Mwanzo EditorFebruary 24, 2023February 24, 2023

Maafisa wa mpaka wameambiwa kuhakikisha utekelezwaji mkali wa agizo hilo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy