Where Is John Heche?
His whereabouts remain unknown, while party leader Tundu Lissu remains in custody with his treason trial pushed to November 3
His whereabouts remain unknown, while party leader Tundu Lissu remains in custody with his treason trial pushed to November 3
Justice Ndunguru, delivering the ruling on behalf of the panel, noted that the case had consistently proceeded with witnesses and that the current delay was procedurally justified. He reiterated that the nature of the charge, treason, precluded the court from granting bail.
Kwa upande wake, Wakili wa Serikali Renatus Mkude alisisitiza kuwa ombi la kuahirisha shauri hilo linafuata misingi ya kisheria, akibainisha kuwa Jamhuri bado inaendelea na maandalizi ya ushahidi wake.
Upande wa Jamhuri ukiwakilishwa na Wakili Mkuu wa Serikali Renatus Mkude ulisema baada ya kumaliza ushahidi wa shahidi huyo, unakwenda kutafakari maamuzi yaliyotolewa na Mahakama Kuu juu ya mapingamizi mawili ambayo yaliletwa na mshtakiwa kuhusiana na vielelezo ambavyo Mahakama imevikataa.
The party said this deepens fears about his safety and the growing pattern of intimidation against opposition figures ahead of the October 29 general election.
With less than a week to Tanzania’s general election, pressure is mounting over the disappearance of opposition figures and growing silence from President Samia Suluhu Hassan, who continues with her nationwide campaign trail.
Platforms like Telegram and Clubhouse have also faced slowdowns, with many users saying they struggle to join discussions without VPNs.
Among the most contested laws are the Computer Misuse and Cybercrimes (Amendment) Act, which gives government agencies power to block websites and the Privatization Act, which critics say allows the sale of public assets without enough oversight.
Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana, mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.
Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.