• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Lissu kurudishwa Mahakamani tena kesho
East Africa Politics Tanzania

Lissu kurudishwa Mahakamani tena kesho

Asia GambaSeptember 10, 2025

Shauri hilo lilitajwa leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa hoja za pingamizi zilizowasilishwa na Lissu, ambapo upande wa Jamhuri ulikuwa unakamilisha uwasilishaji wake kabla ya Lissu, anayejitetea mwenyewe, kujibu hoja hizo.

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi

Asia GambaSeptember 9, 2025

Katika uwasilishaji wa hoja zake hii leo Lissu alitoa hoja nzito akieleza kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya rekodi mbili za kesi zinazotoka kwenye Mahakama tofauti  moja kutoka Mahakama ya Kisutu ambayo nakala yake alipelekewa gereani Ukonga na nyingine kutoka Mahakama Kuu ambayo aliipata jana akiwa mahakamani hapo.

Nepal prime minister resigns after deadly protests
Politics

Nepal prime minister resigns after deadly protests

Kevin SeweSeptember 9, 2025

Nepal’s prime minister resigned on Tuesday, a day after one of the deadliest crackdowns on protesters in years saw at…

Court Hears Luhaga Mpina’s Case Against Election Ban
East Africa People Politics Tanzania

Court Hears Luhaga Mpina’s Case Against Election Ban

Joy CheptooSeptember 8, 2025

The judges are expected to deliver their ruling on Thursday, September 11th. That decision will determine whether Mpina can return to the ballot as ACT-Wazalendo’s presidential candidate, or if the party will head into the polls without a flag bearer.

Tundu Lissu Rejects Court-Appointed Lawyer, Raises Objections in Treason Hearing
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu Rejects Court-Appointed Lawyer, Raises Objections in Treason Hearing

Joy CheptooSeptember 8, 2025

“In a case of this nature, with a death penalty, I will defend myself,” he told the judges.

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini
East Africa Politics Tanzania

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini

Asia GambaSeptember 8, 2025

Lissu alitoa kauli hiyo leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, akifafanua kuwa uamuzi huo umetokana na uzito wa kesi hiyo, ambayo endapo atapatikana na hatia, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa.

Malawi’s Fuel Crisis Hangs Over Upcoming Elections
Africa Politics

Malawi’s Fuel Crisis Hangs Over Upcoming Elections

Wadh KassimSeptember 2, 2025

It is a scene of frustration over chronic petrol shortages and a sputtering economy that has become a black mark against President Lazarus Chakwera as he seeks a second term at September 16 elections.

Uganda Opposition Leader Besigye Boycotts Treason Trial
Africa Crime & Justice East Africa Politics Uganda

Uganda Opposition Leader Besigye Boycotts Treason Trial

Wadh KassimSeptember 2, 2025

Besigye, 69, is a leading opponent of President Yoweri Museveni — in power for nearly 40 years — having unsuccessfully challenged him in four elections.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12

Asia GambaSeptember 2, 2025

Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.

Besigye asusia kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili, ataka Jaji wa kesi hiyo ajiondoe
East Africa Politics Tanzania

Besigye asusia kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili, ataka Jaji wa kesi hiyo ajiondoe

Asia GambaSeptember 2, 2025

Besigye, mwenye umri wa miaka 69, ni mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni ambaye amekuwa madarakani kwa karibu miaka 40 na amewahi kushindana naye bila mafanikio katika chaguzi nne.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy