Egypt’s Sisi Pardons Activist Alaa Abdel Fattah
The 43-year-old British-Egyptian national, who was pardoned alongside five others, was a leading figure in Egypt’s 2011 uprising and has been repeatedly jailed since.
The 43-year-old British-Egyptian national, who was pardoned alongside five others, was a leading figure in Egypt’s 2011 uprising and has been repeatedly jailed since.
Miongoni mwa waliotajwa pia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camilius Wambura, Kamishna wa Polisi Ramadhani Kingai, na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa. Lissu pia amewataja viongozi wa kikanda wakiwemo Martha Karua, mwanasiasa na mwanaharakati kutoka Kenya, Boniface Mwangi, Mwanaharakati kutoka Kenya, Agatha Atuhaire, Mwanaharakati kutoka nchini Uganda na Dk. William Mutunga, Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya.
Leo kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi mdogo kuhusu mapingamizi aliyowasilisha Lissu, ambapo alipinga uhalali wa hati ya mashtaka na pia akakosoa maelezo ya mashahidi akidai yameandikwa kinyume cha sheria.
Thousands of Filipinos marched in Manila on Sunday to vent their anger over a ballooning scandal involving bogus flood-control projects…
Katika kauli yake ya majibu kwa wito huo, Polepole amesema anauchukulia kwa sura mbili; upande wa kwanza akiwaona Polisi wana dhamira njema ya kusikiliza na kukusanya ushahidi, lakini upande wa pili akihisi kuna mbinu na nia ovu zinazoweza kuhatarisha usalama wake.
Presiding Judge Dastan Nduguru adjourned the matter to Monday September 22nd, when the bench is expected to rule on Lissu’s objections
Lissu alieleza kutoridhishwa kwake na namna Wakili wa Serikali alivyomtaja kama “mwenzetu”, akisisitiza kuwa hana uhusiano wowote na upande huo wa mashtaka.
”We express our grave concern regarding reports of broader repression, including at least one reported case of extrajudicial killing, enforced disappearances, arbitrary detention, degrading treatment or punishment in custody”
During the hearings, tensions ran high as supporters of the opposition party CHADEMA briefly boycotted proceedings, alleging harassment and restricted access to the courtroom.
Uchaguzi huu wa urais unatarajiwa kuingia raundi ya pili, huku mgombea mpya Dalitso Kabambe akionekana kuwa kingmaker atakayevuruga hesabu za wawili hao.