Kenyan Activists Reportedly Abducted in Uganda During Bobi Wine Campaign
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.
This incident comes just months after Kenyan activist Boniface Mwangi and Ugandan journalist Agather Atuhaire were abducted in Tanzania.
Kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi kilikuwa kinangoja uteuzi wa waziri mkuu mpya baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake lote la mawaziri Jumatatu, hatua aliyochukua kutuliza maandamano yaliyoshika kasi tangu Septemba 25 kutokana na malalamiko ya uongozi mbaya pamoja na ukosefu wa maji na umeme.
Wanaharakati wa mitandaoni, Innocent Paul Chuwa maarufu kama Kiduku, na Farida Mikoroti, waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya mtandao, wameachiwa kwa dhamana kutoka Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati (Central Police) Dar es Salaam, Jumatano Oktoba 01, 2025.
Earlier this month, Tanzania strongly denied allegations of human rights violations during a session of the UN Human Rights Council in Geneva
Waandamanaji nchini Madagascar wameitisha maandamano mapya leo Jumanne, siku moja baada ya Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina kuvunja serikali yake kwa lengo la kutuliza ghasia zilizosababisha vifo vya watu 22, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
Wiki iliyopita maandamano ya siku mbili yaliibuka na kusababisha makabiliano kati ya vijana na polisi. Waandamanaji, waliyoitishwa kupitia mitandao ya kijamii na vuguvugu la “Gen Z”, walilalamikia kukatika kwa maji na umeme kunakolikithiri katika taifa hilo maskini.
Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu at the UN Friday denied accusations of “genocide” in Gaza and using “starvation” as a tactic, insisting Israel was actually feeding the people of the devastated Palestinian territory.
Police patrolled the capital in large numbers from early morning after authorities banned the demonstration the day before, citing the risk of public disorder.
Haijalishi kama wewe ni hustler ama uko na pesa, kila mtu ana haki ya kuongoza taifa la Kenya- Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta
Kindiki highlighted Isiolo’s position as a key beneficiary of mega infrastructure projects, including the Sh100 billion Horn of Africa Gateway Road and the Sh28 billion Lamu Port–Ijara–Garissa–Isiolo road, which will open new trade and investment opportunities.