Raila Odinga: Tinga Aliyevuta Mageuzi ya Kenya
Raila alihatarisha maisha yake kwa kuongoza maandamano, mikutano ya hadhara, na kampeni za mageuzi, akisisitiza kuwa Kenya inahitaji katiba mpya, utawala wa sheria, na haki za binadamu.
Raila alihatarisha maisha yake kwa kuongoza maandamano, mikutano ya hadhara, na kampeni za mageuzi, akisisitiza kuwa Kenya inahitaji katiba mpya, utawala wa sheria, na haki za binadamu.
He has quietly gathers President Tshisekedi’s rivals in Nairobi.
TEC’s Secretary General, Fr Dr Charles Kitima, unequivocally flagged the document as fake.
People flooded a square in front of the Antananarivo city hall, waving flags and chanting slogans, some hanging off military vehicles as they arrived, AFP reporters saw.
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeridhia maombi ya mawakili wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kuwasilisha kiapo cha ziada katika shauri la maombi ya kutekwa kwa utaratibu wa kisheria (Habeas Corpus).
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.
Humphrey’s mother added that it is painful to see a country once guided by the late Mwalimu Nyerere’s values turn into a place where citizens can disappear without trace
According to the statement signed by Brenda Rupia, the party’s Director of Communications and Publicity, several people were beaten and dispersed by police officers in the court compound.
He further accused police officers stationed at the court of assaulting citizens who had gathered peacefully to follow the proceedings, calling it a violation of constitutional rights.