Upasuaji Wa Mwili Wa Mwanablogu Albert Ojwang Kuendelea Leo Katika Hifadhi Ya Maiti, Jijini Nairobi
Albert Ojwang alikamatwa mnamo Jumamosi, Juni 7, 2025, kufuatia malalamishi kutoka kwa Naibu Inspekta wa polisi aliyemshutumu kwa kumharibia jina kupitia mitandao ya kijamii.