UN Security Council Warns Against Sudan Rival Government
They warned such a move would “risk exacerbating the ongoing conflict in Sudan, fragmenting the country, and worsening an already dire humanitarian situation”.
They warned such a move would “risk exacerbating the ongoing conflict in Sudan, fragmenting the country, and worsening an already dire humanitarian situation”.
UNICEF imebaini kuwa kesi 221 za ubakaji dhidi ya watoto zimeripotiwa rasmi tangu mwanzo wa mwaka 2024, lakini idadi halisi inaweza kuwa kubwa zaidi. Waathiriwa ni pamoja na wavulana na wasichana, ambapo theluthi moja ya waathiriwa ni wavulana.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
The arrest on Monday of Blessed Mhlanga, a high-profile journalist with the online Heart and Soul Television channel (HStv), has sparked new criticism of the government’s intolerance of media freedom and opposition.
Maandamano hayo ya amani, yaliyoandaliwa na Amnesty International Kenya, Vocal Africa, na mashirika mengine ya kijamii, yalianzia Aga Khan Walk, Nairobi CBD, na kuelekea Bunge la Kenya na Ubalozi wa Uganda.
The peaceful protest, organized by Amnesty International Kenya, Vocal Africa, and other civil society groups, started at Aga Khan Walk in Nairobi’s CBD before proceeding to Parliament Buildings and the Ugandan High Commission.
However, activists in Kenya have planned a peaceful protest on February 24, demanding Besigye’s unconditional release
Mashirika haya yanaitaka serikali ya Uganda iwaachilie mara moja Dr. Besigye, Hajj Obeid Lutale, na wakili Eron Kiiza, na vilevile yasitishwe matumizi ya mahakama za kijeshi dhidi ya raia
The groups are calling for the immediate release of Dr. Besigye, Hajj Obeid Lutale, and lawyer Eron Kiiza, along with an end to the militarization of justice in Uganda.
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya