Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.
Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…
Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…
Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.
Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.
Arsenal were without a win in their previous three top-flight games and last four in all competitions, but this spirited victory will give them renewed belief
Akizungumza leo Februari 15, 2023 Ahmed Ally amesema jezi hizo zilianza kukwama nchini China hivyo zilifanyika juhudi za kusukuma mzigo huo ili kuachiwa kwa haraka na baada ya kuachiwa ukakwama tena Ethiopia.
Rais Samia Suluhu Hassan, ametangaza kununua kila goli litakalofungwa katika michezo ya kimataifa ya Simba na Yanga itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii.
Ferdinand Omanyala alishamiri katika mashindano ya mbio za ukumbini nchini Ufaransa kwa kutwaa ushindi wake wa pili usiku wa Jumamosi.
Kenya’s all-time top try scorer Collins Injera announced his retirement on Tuesday after a 17-year rugby career
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Manchester United mwezi Novemba baada ya mahojiano ya mlipuko ambapo aliikosoa klabu na meneja Erik ten Hag
Pele alikuwa katika afya dhaifu, akisumbuliwa na matatizo ya figo na kisha saratani ya utumbo mpana