Mchezaji wa Tembo Warriors apata shavu Uturuki
Leo alfajiri wachezaji wa Tembo Warriors wametoa heshima ya kumuaga mchezaji mwenzao Shedrack Hebron aliyechaguliwa kujiunga na club ya Yeditepe mjini Istanbul.
Leo alfajiri wachezaji wa Tembo Warriors wametoa heshima ya kumuaga mchezaji mwenzao Shedrack Hebron aliyechaguliwa kujiunga na club ya Yeditepe mjini Istanbul.
Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
The men’s team had been due to play in qualifying play-offs in March for the World Cup in Qatar later this year.
Fainali ya Ligi ya Mabingwa 2022 itachezwa jijini Paris baada ya Urusi kuvuliwa uwenyeji wa mechi hiyo kufuatia uvamizi wa taifa hilo nchini Ukraine.
Uwanja huo umepewa jina la rais wa zamani Abdoulaye Wade, utakuwa ndio uwanja pekee nchini Senegal ulioidhinishwa kwa soka ya kimataifa.
Rameshbabu Praggnanandhaa, 16, in 2016 became the youngest international master in history at age 10.
Pele mwenye umri wa miaka 81 alilazwa katika hospitali ya Albert Einstein mnamo Feb 13
The French defender had initially been named Moyes’ team despite fury in recent days over a video that showed Zouma physically abusing his cat.
There were 19 goals in seven matchday 1 games in the African equivalent of the UEFA Europa League and 12 of those came in Group D.