• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Sports

Sekta ya michezo yatajwa kukua nchini Tanzania.
Sports

Sekta ya michezo yatajwa kukua nchini Tanzania.

Asia GambaApril 6, 2022April 6, 2022

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema sekta ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini humo imekuwa kwa kiasi kikubwa na imeanza kuleta tija kwa maisha ya Watanzania kutokana na miongozo thabiti inayotolewa na Serikali

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Entertainment Features Football International Middle East

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili
Africa Europe Features Football International Middle East Sports

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia
Africa Features Football People Sports

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alianza soka  akiwa na timu ya taifa ya Misri mwaka 2011.

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Features Football Sports

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Africa Features Football International Sports

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Africa Features Football Sports

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo
Sports

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Timu ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kuikabili Sudan, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Soka, FIFA.

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Europe Features Football International People

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo