Category: Sports
AFCON to remain scarred by a crush which killed eight
The spectacular 60,000-seat Olembe Stadium was built to be the jewel in the crown of Cameroon’s Cup of Nations.
Liverpool’s Mohamed Salah and Sadio Mane to face off in the AFCON final
It will be a second AFCON final appearance for Salah.
Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Misri: Mvulana mmoja akamatwa kwa kumfanyia mchezaji soka aliyeko Cameroon mtihani
Mchezaji huyo wa kabumbu Mohamed mwenye umri wa miaka 24, yuko Cameroon na timu ya taifa ya Misri Mafarao
Asbel Kiprop kurudi kwenye riadha baada ya muda wa marufuku kuisha
Kiprop, 32, alisimamishwa kushiriki riadha ya kimataifa Aprili 2019 kwa madai ya kutumia dawa ya kuongeza damu ya EPO
Manchester United’s Greenwood further arrested on suspicion of ‘threats to kill’
Mason Greenwood has been further arrested on suspicion of sexual assault and threats to kill .
Misri na Senegal wafuzu kushiriki nusu fainali ya AFCON
Shirikisho la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe
AFCON: Msongamano uwanjani wasababisha vifo vya watu wanane
Wanawake wawili wa miaka thelathini, wanaume wanne wenye umri wa miaka thelathini, mtoto mmoja, waliuawawa katika msongamano huo
Algeria yabanduliwa nje ya michuano AFCON huku Mali na Gambia wakishinda
Algeria walikuja kwenye michuano hiyo na rekodi ya kutoshindwa kwa muda wa miaka mitatu iliyopita.