Je, nani ataibuka mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or 2021?
Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.
Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.
Rais wa Liberia George Weah alikuwa mwanakandanda wa timu ya taifa kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na siasa na kuwa rais wa taifa.
Mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop huenda yalitokana na mzozo wa kimapenzi.
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limeipiga faini ya shilingi milioni 11 klabu ya Yanga nchini Tanzania.
Mnada ulifanywa na Catawiki kwa lengo la kupata fedha za kufadhili elimu ya wanafunzi maskini kupitia wakfu wa Eliud Kipchoge.
Kenya Sevens finished third in the Edmonton Sevens after a convincing 33-14 win over hosts Canada in the third-place playoffs clash played at Commonwealth Stadium on Monday morning.
Football legend Samuel Eto’o seeks presidency for Cameroon Football Federation
Mtu mwenye nguvu zaidi duniani, Iron Biby, kutoka Burkina Faso avunja rekodi ya kuinua chuma chenye uzito wa 229 kg
“I am a fighter, and I will always be a fighter inside and outside the ring…I
am accepting your nomination as candidate for president of the Republic
of the Philippines.”
Kenya imejishindia tiketi ya kushiriki mashindano ya FIVB World Championship baada ya kufika fainali ya mashindano ya voliboli ya wanawake ya bara Afrika mjini Kigali, Rwanda.