Taifa Stars kumenyana na Atlas Lions Ya Morocco Katika kipute cha AFCON
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars, leo Jumatano itakabiliana na Morocco katika kipute cha AFCON,katika uwanja wa Laurent Pokou,San Pedro saa mbili usiku.
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars, leo Jumatano itakabiliana na Morocco katika kipute cha AFCON,katika uwanja wa Laurent Pokou,San Pedro saa mbili usiku.
Ikiwa imesalia chini ya masaa 24 kwa kindumbwendubwe cha Michuano ya ubingwa wa bara Africa AFCON, kuanza nchini ivory Coast, baadhi ya wachezaji wanaonekana kubeba matumani ya mataifa yao katika kipute hicho.
Double Olympic 1500m champion Faith Kipyegon and world marathon record holder Kelvin Kiptum highlighted Kenyans honoured at the revamped World Athletics awards gala on Monday evening in Monaco, France.
Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.
Mwakinyo amepewa adhabu hiyo baada kugomea kupanda ulingoni September 29, 2023 katika pambano lake dhidi ya Julius Indonga kutokea Namibia kwa madai ya Promota kukiuka baadhi ya makubaliano yao..
Kenyans are holding their breath waiting to learn if the Confederation of African Football’s executive committee will today vote for…
The son of Ali Bongo Ondimba and several allies of the ousted Gabon president have been charged with high treason and corruption and placed in custody, the state prosecutor told AFP Wednesday.
Bingwa wa Dunia wa mbio za mita 10,000 Gudaf Tsegay amevunja rekodi ya dunia ya mita 5000 iliyowekwa na Faith Kipyegon kwenye mbio za Diamond League iliofanyika Jimbo La Oregon , Marekani.
Timu ya raga ya Kenya, Shujaa wamefuzu kwa Michezo yao ya Olimpiki baada ya kuishinda Afrika Kusini 17-12 katika fainali ya Kombe la Africa Rugby 7s
Mafuriko makubwa Jijini Derna, Nchini Libya yameangamiza maisha ya wachezaji soka kadhaa wa hali ya kiwango cha kimataifa.