Jaji agoma kujitoa katika kesi ya mgogoro wa mali za Chadema
Jaji Mwanga amekuwa akisimamia kesi hiyo tangu ilipotajwa kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 17, 2025. Hata hivyo, Juni 23 mwaka huu, walalamikaji walimuandikia barua ya kumtaka ajitoe katika kesi hiyo, wakidai upendeleo na mgongano wa kimaslahi.