Mapigano mapya katika jimbo la Darfur nchini Sudan yasababisha vifo vya takriban watu 19
Mapigano mapya yaliyozuka Alhamisi yameshuhudia makundi yenye silaha yakipigana katika milima ya Jebel Moon katika jimbo la Darfur Magharibi
Mapigano mapya yaliyozuka Alhamisi yameshuhudia makundi yenye silaha yakipigana katika milima ya Jebel Moon katika jimbo la Darfur Magharibi
Takriban watu 85 wameuawa na mamia kujeruhiwa na vikosi vya usalama wakati wa miezi minne ya maandamano ya kudai utawala wa kiraia na haki
Sudan has been rocked by regular anti-coup protests that have been met by a crackdown that has killed at least 82 people according to an independent group of doctors.
Vifo hivyo saba vinafikisha 71 idadi ya waandamanaji waliouawa tangu jeshi lilipochukua madaraka Oktoba 25, likiongozwa na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan.
Vikosi vya usalama vya Sudan vimewaachia wanahabari wawili wa kituo cha televisheni.
Takriban wachimbaji wadogo milioni mbili huzalisha takriban 80% ya dhahabu kila mwaka ikiwa ni takriban tani 80, kulingana na takwimu rasmi.
Waandamanaji wamejitokeza tangu mapinduzi yalipotekelezwa licha ya kukatika kwa intaneti na huduma za mawasiliano, jambo ambalo lililazimu wanaharakati kusambaza wito wa maandamano kupitia grafiti na jumbe za SMS.
Jumamosi 30 OKtoba, maelfu ya waandamanaji wanaodai uongozi wa kiraia wataanaandamana katika Millions March
Jenerali al- Burhan anasema mapinduzi yalibidi kufanyika kuepuka vita vya wenyewe kwa wenyewe, akisisitiza kuwa uchaguzi wa kurejesha uongozi wa kiaria utafanyika Julai 2023.
Upinduzi wa serikali ya mpito umeondoa matumaini ya mabadiliko ya amani ya uongozi hata baada ya kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Rais Omar al-Bashir mwaka wa 2019.