US President Joe Biden calls on the Taliban to release last American hostage
Washington has repeatedly told the Taliban it will have to “earn” legitimacy before being recognized by the international community.
Washington has repeatedly told the Taliban it will have to “earn” legitimacy before being recognized by the international community.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
Taliban yapiga marufuku vinyozi kuwanyoa wanaume vichwa na ndevu, wakisema kunyoa kunakwenda kinyume na maadili ya dini ya kiislamu.
‘Eternal’ chancellor: Germany’s Merkel prepares to leave the stage
Taliban inataka kushirikishwa katika mijadala ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) Marekani
Kazi ambazo wanawake Afghanistan wanaruhusiwa kufanya pekee ni zile ambazo wanaume hawawezi kufanya, kama kusafisha vyoo vya wanawake. Wafanyakazi wanawake…
Afghanistan ni taifa linaloongoza katika upanzi wa mmea unaojulikana kama afyuni. Hutumika katika utengenezaji wa dawa tofauti za kulevya ikiwemo
heroini.
Ilichukua Taliban siku10 pekee kuiteka Afghanistan baada ya kuondoka kwa majeshi ya Amerika na kumlazimsha Rais Ashraf Ghani kutorokea Falme za Kiarabu, ila Taliban ni nani haswa?
Wanamgambo wa Taliban washeherekea kuondoka kwa majeshi ya Marekani kwa kufyatua risasi hewani.
Marekani hadi sasa imefaulu kuwahamisha takriban waafghan 4000 na familia zao wanaoshikilia pasipoti za Marekani.