• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania
East Africa People Politics Tanzania

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania

Asia GambaAugust 7, 2025

Kipindi cha uongozi wake kama Spika kiligubikwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani waliomtuhumu kwa upendeleo, kufungia wabunge waliokuwa wakikosoa serikali, pamoja na kuziba mijadala mizito ndani ya Bunge.

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni
East Africa Politics Tanzania

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni

Asia GambaAugust 5, 2025

Ingawa majina ya mwisho ya wagombea yataamuliwa na ngazi za juu za chama hicho, matokeo ya sasa yameweka uelekeo wa wazi kuwa sehemu kubwa ya wanachama wameonyesha hamu ya kuona sura mpya zikipewa nafasi ya uongozi.

Lissu alalamikia matumizi mabaya ya Mahakama, achoshwa na ahirisho la mara kwa mara
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Lissu alalamikia matumizi mabaya ya Mahakama, achoshwa na ahirisho la mara kwa mara

Asia GambaJuly 30, 2025

Katika kesi hiyo iliyopo mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga , Lissu amedai kwamba kuendelea kwa hatua za kuahirisha kusomwa kwa shauri hilo ni dhihirisho la namna vyombo vya sheria vinavyoweza kutumiwa kisiasa, jambo ambalo ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia nchini.

Jaji agoma kujitoa katika kesi ya mgogoro wa mali za Chadema
Uncategorized

Jaji agoma kujitoa katika kesi ya mgogoro wa mali za Chadema

Asia GambaJuly 28, 2025

Jaji Mwanga amekuwa akisimamia kesi hiyo tangu ilipotajwa kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 17, 2025. Hata hivyo, Juni 23 mwaka huu, walalamikaji walimuandikia barua ya kumtaka ajitoe katika kesi hiyo, wakidai upendeleo na mgongano wa kimaslahi.

Gambia yatangaza mlipuko wa ugonjwa wa mpox
Africa Lifestyle & Health

Gambia yatangaza mlipuko wa ugonjwa wa mpox

Asia GambaJuly 23, 2025

Gambia imeripoti mlipuko wa ugonjwa wa mpox siku ya Jumanne baada ya kugunduliwa kwa kisa kimoja kupitia mfumo wa kawaida wa ufuatiliaji wa magonjwa, huku nchi kadhaa jirani zikiripoti ongezeko la maambukizi hivi karibuni.

Rais wa Cameroon Paul Biya kutafuta muhula wa nane wa Urais
Africa Politics

Rais wa Cameroon Paul Biya kutafuta muhula wa nane wa Urais

Asia GambaJuly 14, 2025

Rais wa Cameroon, Paul Biya, ametangaza Jumapili kwamba atagombea tena urais kwa muhula wa nane katika uchaguzi wa Oktoba, hatua itakayoongeza utawala wake ambao umedumu kwa takriban miaka 43.

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House
Africa International Politics Uncategorized

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House

Asia GambaJuly 9, 2025

Marais wa Senegal, Liberia, Guinea-Bissau, Mauritania na Gabon — mataifa matano yaliyoko kwenye Pwani ya Atlantiki ya Afrika — wamealikwa na Trump kuhudhuria mkutano huo wa ngazi ya juu.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga  “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano

Asia GambaJune 25, 2025

Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu

Asia GambaJune 25, 2025June 25, 2025

Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy