• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC
Africa East Africa War & Conflicts

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC

Asia GambaFebruary 27, 2025February 28, 2025

Katika mahojiano  alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi
Africa East Africa War & Conflicts

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi

Asia GambaFebruary 25, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema
East Africa Politics Tanzania

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema

Asia GambaFebruary 24, 2025

Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amesisitiza kuwa yeye bado ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), isipokua suala la yeye kufukuzwa uanachama ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana mpaka leo wanapigania haki yao ya kuwa wanachama wa Chadema.

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali
East Africa Lifestyle & Health Uganda

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali

Asia GambaFebruary 19, 2025

Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU
Africa East Africa People Social Issues Tanzania

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU

Asia GambaFebruary 14, 2025

Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, “anaumwa vibaya” gerezani: Wakili
Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, “anaumwa vibaya” gerezani: Wakili

Asia GambaFebruary 13, 2025

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, anasema kuwa “anaumwa vibaya” gerezani siku tatu baada ya kuanza mgomo wa kula kupinga kizuizi chake, alieleza mmoja wa mawakili wake.

Mgogoro wa DRC kutawala kikao cha Umoja wa Afrika
Africa East Africa International War & Conflicts

Mgogoro wa DRC kutawala kikao cha Umoja wa Afrika

Asia GambaFebruary 12, 2025

Umoja wa nchi 55 unakutana kuanzia Ijumaa katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, ambapo bara la Afrika linakutana na migogoro mikubwa inayoendelea katika DRC na Sudan, pamoja na kupunguzwa kwa msaada wa maendeleo kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump, hatua inayolitesa bara hili kwa kiasi kikubwa.

Mgogoro wa DRC unaendelea huku Umoja wa Mataifa ukitoa wito wa amani
Africa East Africa War & Conflicts

Mgogoro wa DRC unaendelea huku Umoja wa Mataifa ukitoa wito wa amani

Asia GambaFebruary 7, 2025

Kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda liliongeza mashambulizi yake siku ya Alhamisi kupitia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na linaonekana kuwa na nia ya kuchukua mji muhimu, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akitoa wito wa amani.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo