Shahidi wa pili aeleza alivyotambua Jinai kwenye video ya Tundu Lissu
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
Shahidi wa kwanza alihitimisha ushahidi wake leo baada ya kuhojiwa kwa maswali ya nyongeza na jopo la mawakili wa Serikali
Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.
Akijibu ripoti iliyotolewa na Shirika la Kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch (HRW), Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema madai hayo hayana msingi na yanapotosha hali halisi ya nchi.
Goodall, aliyebobea katika utafiti wa sokwe pori na baadaye kuwa mwanaharakati wa mazingira, alibadilisha mapenzi yake ya wanyamapori kuwa kampeni ya maisha yote. Safari yake ilimtoa kutoka kijiji cha pwani kusini mwa Uingereza hadi Afrika, na hatimaye kumzungusha duniani kote akijitahidi kuelewa sokwe na nafasi ya binadamu katika kulinda makazi yao pamoja na afya ya sayari kwa ujumla.
Kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi kilikuwa kinangoja uteuzi wa waziri mkuu mpya baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake lote la mawaziri Jumatatu, hatua aliyochukua kutuliza maandamano yaliyoshika kasi tangu Septemba 25 kutokana na malalamiko ya uongozi mbaya pamoja na ukosefu wa maji na umeme.
Waandamanaji nchini Madagascar wameitisha maandamano mapya leo Jumanne, siku moja baada ya Rais wa nchi hiyo Andry Rajoelina kuvunja serikali yake kwa lengo la kutuliza ghasia zilizosababisha vifo vya watu 22, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.
Mwanasiasa huyo mkongwe, ambaye aliwahi kushika madaraka kuanzia mwaka 2014 hadi 2020, amechaguliwa tena kwa kura karibu asilimia 57 ili kuongoza taifa hilo lenye watu milioni 21 wengi wao wakiwa maskini.
Leo kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi mdogo kuhusu mapingamizi aliyowasilisha Lissu, ambapo alipinga uhalali wa hati ya mashtaka na pia akakosoa maelezo ya mashahidi akidai yameandikwa kinyume cha sheria.
“Kupata huruma unaponewa si kosa, lakini jambo muhimu zaidi ni kupata haki. Siwaombi Waheshimiwa Majaji mnipe haki kwa sababu ya huruma, bali kwa mujibu wa viapo vyenu na kwa mujibu wa sheria,”
Shauri hilo lilitajwa leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa hoja za pingamizi zilizowasilishwa na Lissu, ambapo upande wa Jamhuri ulikuwa unakamilisha uwasilishaji wake kabla ya Lissu, anayejitetea mwenyewe, kujibu hoja hizo.