• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba
Africa East Africa Kenya Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania na Kenya zilivyozima maandamano ya maadhimisho ya Saba Saba

Asia GambaJuly 8, 2026

Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi zote mbili zimekumbwa na maandamano makubwa ya wananchi na kujibu kwa matumizi makubwa ya nguvu kutoka kwa vyombo vya dola.

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Ukandamizaji wa kisiasa waongezeka Uganda

Asia GambaJune 30, 2026

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni mwana wa Rais na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, katika wiki za hivi karibuni ameagiza kukamatwa kwa wanaharakati mashuhuri, wanasiasa na mawakili. Aidha, ameamuru kufungwa kwa kundi kubwa la vyombo huru vya habari nchini.

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala
East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda Miria Matembe aripotiwa kutekwa Kampala

Asia GambaJune 29, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Uganda na mtetezi wa haki za wanawake, Miria Matembe, mwenye umri wa miaka 72, ameripotiwa kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa maofisa wa usalama baada ya kujificha kwa siku mbili kufuatia msako uliofanywa nyumbani kwake eneo la Luzira, jijini Kampala.

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor
Africa East Africa Rights & Freedoms Uganda

Mwana wa Museveni asema haamini uhuru wa vyombo vya habari, aagiza kufungwa kwa NTV na Daily Monitor

Asia GambaJune 29, 2026June 29, 2026

Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kufungwa kwa taasisi ya habari ya Nation Media Group (NMG), inayomiliki gazeti la Daily Monitor, kituo cha televisheni cha NTV Uganda pamoja na vituo kadhaa vya redio, akisema haamini katika uhuru wa vyombo vya habari.

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto
Africa Lifestyle & Health

Afrika yakabiliwa na upungufu wa dawa ya usingizi kwa upasuaji wa watoto

Asia GambaJune 22, 2026

Halothane bado inatumika kwa kiasi kikubwa katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kuwapa watoto usingizi wakati wa upasuaji. Sababu kuu ni kwamba dawa hiyo ni nafuu zaidi, ikiwa na gharama mara saba hadi kumi chini ya mbadala wake wa kisasa, sevoflurane.

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania
Europe Politics Tanzania Uncategorized

Bunge la Marekani laidhinisha muswada wa kutathmini upya uhusiano wake na Tanzania

Asia GambaJune 18, 2026

Kamati ya Mahusiano ya Kigeni yabunge la Marekani imeidhinisha miswada mitano ya sera za mambo ya nje, ikiwemo muswada unaotaka kufanyika kwa tathmini ya kina ya uhusiano kati ya Marekani na Tanzania kufuatia kile wabunge wa Marekani wanachokitaja kuwa kuongezeka kwa vurugu za kisiasa na kudorora kwa demokrasia nchini humo.

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Africa East Africa Politics Tanzania

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga

Asia GambaJune 17, 2026

Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.

Marekani na Iran zakubaliana kumaliza vita, Hormuz kufunguliwa tena
Europe International Middle East

Marekani na Iran zakubaliana kumaliza vita, Hormuz kufunguliwa tena

Asia GambaJune 15, 2026

Marekani na Iran zimetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha vita vya Mashariki ya Kati katika maeneo yote ya mapigano, ikiwemo Lebanon, pamoja na kufungua tena Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani.

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito
Africa Crime & Justice East Africa Politics Social Issues Tanzania

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito

Mwanzo EditorMay 21, 2026

Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili
Africa East Africa Kenya People Politics War & Conflicts

Mgomo wa usafiri Kenya kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta waingia siku ya pili

Asia GambaMay 19, 2026

Waendeshaji wa matatu walishindwa kufikia makubaliano ya kupunguza bei katika mazungumzo na serikali siku ya jana Jumatatu, hali iliyosababisha mgomo huo kuendelea.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy