• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House
Africa International Politics Uncategorized

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House

Asia GambaJuly 9, 2025

Marais wa Senegal, Liberia, Guinea-Bissau, Mauritania na Gabon — mataifa matano yaliyoko kwenye Pwani ya Atlantiki ya Afrika — wamealikwa na Trump kuhudhuria mkutano huo wa ngazi ya juu.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga  “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano

Asia GambaJune 25, 2025

Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu

Asia GambaJune 25, 2025June 25, 2025

Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.

Nairobi to Host CHAN final Ahead of African Cup of Nations
Africa East Africa Football Kenya Sports Tanzania Uganda

Nairobi to Host CHAN final Ahead of African Cup of Nations

Wadh KassimJune 20, 2025

The 19-nation CHAN, restricted to locally-based players, is a precursor to the top-tier African Cup of Nations, which is due to be held in east Africa for the first time in 2027.

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani
Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani

Asia GambaJune 16, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Ghasia zaibuka Nairobi: Kifo cha Mwalimu mikononi mwa Polisi chazua hasira mpya

Asia GambaJune 12, 2025

Jeshi la polisi nchini Kenya limetumia mabomu ya machozi leo Alhamisi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilaani mauaji ya mwalimu mmoja aliyefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi, hali iliyotishia kufunika juhudi za serikali kuwasilisha bajeti mpya bila kuchochea ghasia kama za mwaka uliopita.

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa
Crime & Justice East Africa Gender Kenya Rights & Freedoms Social Issues

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa

Asia GambaMay 14, 2025

Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo