• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Ongezeko bei ya mafuta lachochea hofu ya mfumuko wa bei
East Africa Energy & Mining Middle East Tanzania

Ongezeko bei ya mafuta lachochea hofu ya mfumuko wa bei

Asia GambaApril 1, 2026

Ongezeko hili kubwa zaidi ya asilimia 33 kwa petroli na dizeli ndani ya mwezi mmoja linatokana na mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati,  kati ya Marekani, Israel na Iran, ulioonza tangu Februari 28, 2026.

Rostam Aziz mmiliki mpya wa kampuni ya habari ya Nation Media Group
East Africa Kenya Tanzania

Rostam Aziz mmiliki mpya wa kampuni ya habari ya Nation Media Group

Asia GambaMarch 11, 2026

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Jumanne, Machi 10, 2026, AKFED imefikia makubaliano ya kuuza umiliki wake wa asilimia 100 katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited kwa kampuni ya Taarifa Ltd, inayomilikiwa na Rostam Azizi.

Kanisa Katoliki Musoma lalaani  Polisi kuwapiga mabomu BAWACHA kanisani
Africa Politics Religion Tanzania

Kanisa Katoliki Musoma lalaani Polisi kuwapiga mabomu BAWACHA kanisani

Asia GambaMarch 11, 2026

Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila, amelaani vikali tukio la Jeshi la Polisi kurusha mabomu ya machozi ndani ya eneo la kanisa wakati wa ibada, tukio lililotokea wakati wanachama wanawake wa Chadema  BAWACHA, walipokuwa wakitoka ibadani.

Tanzania yajitetea UNHRC, yakemea mataifa ya Magharibi kwa tathmini yenye upendeleo
East Africa People Rights & Freedoms Tanzania United Nations

Tanzania yajitetea UNHRC, yakemea mataifa ya Magharibi kwa tathmini yenye upendeleo

Mwanzo EditorMarch 4, 2026

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania
Africa Energy & Mining

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 25, 2026

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 huambukizwa kupitia majimaji yanayotoka kwenye mfumo wa njia ya hewa ya mgonjwa, ambayo husambaa wakati wa kukohoa, kupiga chafya au kuzungumza.Vilevile, maambukizi yanaweza kutokea kwa kugusa mazingira yaliyochafuliwa na majimaji hayo.

WFP yasitisha misaada katika kaunti ya Sudan Kusini baada ya msafara wao kushambuliwa
Africa War & Conflicts

WFP yasitisha misaada katika kaunti ya Sudan Kusini baada ya msafara wao kushambuliwa

Asia GambaFebruary 4, 2026

WFP ilisema ilishambuliwa wiki iliyopita katika jimbo jirani la Upper Nile, eneo jingine linalochukuliwa kuwa ngome ya vikosi vya Machar.

Marekani yarejesha msaada wa chakula Somalia
Africa Food Security People

Marekani yarejesha msaada wa chakula Somalia

Asia GambaJanuary 29, 2026

Mwanzoni mwa Januari, Washington ilisimamisha msaada huo kwa Somalia kufuatia taarifa za wizi na kuingiliwa kwa shughuli za misaada na Serikali ya Somalia. Marekani ilidai kuwa maofisa wa Somalia walikamata kinyume cha sheria tani 76 za chakula cha msaada kilichokuwa kimetolewa kwa ajili ya raia waliokuwa katika mazingira magumu.

Kiongozi wa upinzani Uganda ajificha, mwingine akiwa mahututi hospitalini
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda ajificha, mwingine akiwa mahututi hospitalini

Asia GambaJanuary 22, 2026January 23, 2026

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema yuko mafichoni kufuatia uchaguzi wa wiki iliyopita, huku kiongozi mwingine wa upinzani, Kizza Besigye, akiwa mahututi kutokana na hali mbaya ya afya, kwa mujibu wa mke wake.

Ni nini hatma ya kesi ya Lissu?
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Ni nini hatma ya kesi ya Lissu?

Asia GambaJanuary 13, 2026

Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.

Kiongozi wa upinzani Uganda Bobi Wine aonya maandamano endapo uchaguzi utahujumiwa
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani Uganda Bobi Wine aonya maandamano endapo uchaguzi utahujumiwa

Asia GambaJanuary 13, 2026

Zaidi ya watu milioni 20 wamejiandikisha kupiga kura katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Museveni mwenye umri wa miaka 81 akitarajiwa kwa kiasi kikubwa kuendelea kutawala kwa muhula mwingine, akisaidiwa na udhibiti wake mkubwa wa vyombo vya dola na usalama baada ya zaidi ya miongo minne madarakani.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy