Ongezeko bei ya mafuta lachochea hofu ya mfumuko wa bei
Ongezeko hili kubwa zaidi ya asilimia 33 kwa petroli na dizeli ndani ya mwezi mmoja linatokana na mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati, kati ya Marekani, Israel na Iran, ulioonza tangu Februari 28, 2026.