Ruto, Zelenskyy wajadili uundaji wa vitovu vya nafaka barani Afrika
Viongozi hao wawili walikubaliana kukuza kile Zelenskyy alichoita ‘Mpango wa Nafaka Kutoka Ukraine’ katika mazungumzo ya simu
Viongozi hao wawili walikubaliana kukuza kile Zelenskyy alichoita ‘Mpango wa Nafaka Kutoka Ukraine’ katika mazungumzo ya simu
Uganda siku ya Jumatano ilitangaza kukomesha mlipuko wa virusi vya Ebola vilivyoibuka karibu miezi minne iliyopita na kuua watu 55
Jacktone Odhiambo, ambaye aliripotiwa kuwa mpenzi wa Chiloba, ameshtakiwa kwa mauaji yake na yuko chini ya ulinzi wa polisi pamoja na washukiwa wengine wanne.
Justice Kenneth Kakuru, announcing the ruling of the court’s five-judge panel, found the article in the 2011 law contravened the East African country’s constitution and was “null and void”.
Rais Macky Sall amesema kwenye mtandao wake wa twitter kwamba, amehuzunishwa sana na ajali hiyo na kutangaza siku tatu za maombolezo.
Miili kumi ilipatikana Jumatano baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya wanawake 100 na watoto kupasuka kwenye mto kaskazini mwa Nigeria
Polisi wamemwita mmiliki wa Freedom City Mall, John Sebalamu kuhojiwa kuhusu mkanyagano wa mkesha wa kuua mwaka mpya uliosababisha takriban watu 10 kuuawa
Hassan has been under pressure to break with the hardline policies of John Magufuli, who died in 2021 after six years of heavy-handed rule in a country once seen as a democratic beacon in East Africa
Students were due back in class after the holidays on Tuesday
Serikali ya Rwanda imekanusha madai ya DR Congo kwamba raia wa Rwanda waliokamatwa mjini Kinshasa walikuwa wakipanga njama ya kuidungua ndege iliyokuwa imembeba rais wa Kongo